Ifanye Biashara Yako Iwe Inajulikana, Na Upate Wateja Wengi.
Kwa Vifaa Vyote Vya Michezo, Jijini Arusha, Wako Opposite Msikiti Mkubwa, Karibu na CCM Mkoa Wapo Pia Moshi na Babati, Tembelea Sasa
Pata Products Za Forever Living Kwa Afya Yako, Bila Kusahau Vipodozi. Piga 0755-029901.
Kwa Huduma Za KIMAPISHI, Katika Events Mbalimbali, Harusi, MISIBA, Barikio, Send Off nk.
Photo Editing, Graffiti Editions, Pia Kufanya Retouching. Kutengeneza Posters(MABANGO)
Next
Previous
Showing posts with label Clouds FM. Show all posts
Friday, May 31, 2013
Saturday, May 11, 2013
ONA JINSI DIVA LOVENESS ALIVYOM'BWAGA BWANA AKE NA KUANGUKIA KWA PREZZO | ANGALIA MATUSI ALIYOTUKANWA INSTAGRAM
Posted in Clouds FM, Diva Loveness Love, Prezzo
Hii Ni Post aliyoweka mtangazaji wa Clouds FM, Diva Loveness Love akiongelea penzi lake na Msanii tajiri toka Kenya, PREZZO.
Katika Tovuti ya BigBrother Africa Wameandika Kichwa cha habari: Prezzo Moves On,Now Dating Radio Presenter Diva Loveness Love.
Wakaongeza:
All this must be a thing of the past for Prezzo seeing that on several occasions he has been spotted with cloud FM’s Radio presenter famously known as Loveness love.
Asked about if there is anything between him and the Kenyan diva;Prezzo who didn’t exactly deny the rumor simply commended her as;”very beautiful and classy…someone you would fall in love with at first sight”
As it is moving on from the past is always a good thing…we wish them the best!
KATIKA MTANDAO WA INSTAGRAM AMBAO HIVI SASA UMEKUA NA MUAMKO, WENGI WAMEMTUKANA NA WENGINE KUMPONGEZA. Ona Hii Screenshot...
Wednesday, May 8, 2013
ZITTO NAYE ALIONGELEA SUALA LA LADY JAY DEE NA CLOUDS MEDIA
Posted in Clouds FM, Lady Jay Dee, Zitto Kabwe
Mgogoro kati ya Lady JayDee a.k.a Anaconda na uongozi wa
Clouds Media Group bado ni issue, mengi yameshazungumzwa lakini kuna tweet moja
ambayo mh. Zitto Kabwe ameona inafaa zaidi kuleta mabadiliko katika mzozo huo.
Zitto aliirudia Tweet ya Absalom Kibanda ya May 5
iliyosemeka.
“An Iron Lady! Turn
back and forgive. There’s power behind forgiveness”
Lady JayDee nae akamjibu:
@absakibanda Nakuelewa sana brother
Tweet ya Absalom ilimvutia zaidi Zitto Kabwe ambae
aliandika:
“This tweet will surely bring peace. Watch “@absakibanda:
@JideJaydee An Iron Lady! Turn back and forgive. There's power behind
forgiveness”
Na akasisitiza zaidi na kusema hili ni neno la Busara:
“+1 in these words of deep wisdom “@absakibanda: @JideJaydee
An Iron Lady! Turn back and forgive. There's power behind forgiveness”
Monday, May 6, 2013
LADY JAY DEE ASEMA HATO-SURRENDER : FACEBOOK POST NA BAADHI YA TWEETS KUHUSU HILI SAKATA
Posted in Clouds FM, Lady Jay Dee, Ruge MutahabaHUYU NDO MSANII WA KWANZA KUMUUNGA MKONO LADY JAY DEE KATIKA SAKATA LAKE NA CLOUDS
Posted in Clouds FM, Joe Kussaga, Lady Jay Dee, Ommy Dimpoz, Ruge Mutahaba, Suma Mnazaleti
Mkali wa miondoko ya bongo fleva anatamba na ngoma yake kali
aliyomshirikisha OMMY DIMPOZI chukua tyme SUMA MNAZALETI ameyasema
maneno hayo leo kwa njia ya masseji Alisema'' ebana nadhani unajua nini
kinaendelea kuhusu lady jaydee! nachukua nafasi hii we kaka yangu ambaye
umenisaidia sana kwa mda mrefu kukujulisha kuwa mdogo wako,Nitakuwa
msanii miongoni mwa wasanii wanao support maneno ya lady jay dee
Nakwambia haya kwasababu najua umenisaidia sana,but kama baada ya haya
utaamua kuona sifai sio tatizo pia! no interview 4 NOW Nilikuwa nakupa
habari kama ndugu yangu wa karibu. lakini kama hili unaliunga mkono
sio mbaya ukinijulisha kwamba hakuna tatizo na unaendelea kusaport kazi
zangu. alimaliza kwakuandika jina lake suma mnazaleti.
MSIKILIZE RUGE MUTAHABA AKIZUNGUMZIA ISHU YA LADY JAY DEE
Posted in Clouds FM, Lady Jay Dee, Ruge MutahabaThursday, May 2, 2013
KUHUSU BIFU LA JAY DEE NA CLOUDS: GADNA AWAPONDA KWA WANACHOKIFANYA
Posted in Clouds FM, Gadner G Habash, Joe Kussaga, Lady Jay Dee, Ruge MutahabaAKIONGEA NA MTANGAZAJI DAN CHIBO MTANGAZAJI WA TBC FM,NA HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA
Leo
nilipata nafasi ya kuzingumza na Gadan G Habash ambaye ni Meneja na
Mume wa Mwanamuziki maarufu nchin Lady Jay Dee, sote tunafahamu juu ya
maneno aliyoyasema Lady Jay Dee kama ni Wosia wake.
Ipi ni Kauli yako juu ya Wosia wa Lady Jay Dee...?
Gadna G: Ni maneno ambayo yametoka moyoni mwake na ni maneno mbayo anajitetea kama msanii, mimi kama Meneja ukiacha pia kama mke wangu naendelea kumsapot kwa kile ambacho anaona ni sawa, basi mimi nitaendelea kumsaport na kujaribu kuzungumza na Lady Jay Dee, mara nyingi anasema tu kwamba watu wasifikilie ni swala la wimbo kupigwa au kutokupigwa, hayo ni mambo ya kawaida lakini wafikirie tu kwamba huyu mtu anaongea kutokana experience yake aliyokuwa nayo na wale watu.
Baada ya mwaka 2003 kuacha kufanya kazi kwenye management yao ya Smooth Vibe, yalitokea mambo mengi hapa katikati ila hakusema lakini siku za hivi siku za karibuni kuna mengine ambayo yametokea, ndio akaona hapana nisipo sema nitazidi kukandamizwa na matokeo yake nitakufa kisabuni.
Gadna G: Ni maneno ambayo yametoka moyoni mwake na ni maneno mbayo anajitetea kama msanii, mimi kama Meneja ukiacha pia kama mke wangu naendelea kumsapot kwa kile ambacho anaona ni sawa, basi mimi nitaendelea kumsaport na kujaribu kuzungumza na Lady Jay Dee, mara nyingi anasema tu kwamba watu wasifikilie ni swala la wimbo kupigwa au kutokupigwa, hayo ni mambo ya kawaida lakini wafikirie tu kwamba huyu mtu anaongea kutokana experience yake aliyokuwa nayo na wale watu.
Baada ya mwaka 2003 kuacha kufanya kazi kwenye management yao ya Smooth Vibe, yalitokea mambo mengi hapa katikati ila hakusema lakini siku za hivi siku za karibuni kuna mengine ambayo yametokea, ndio akaona hapana nisipo sema nitazidi kukandamizwa na matokeo yake nitakufa kisabuni.
Wednesday, May 1, 2013
LADY JAY DEE: WOSIA WANGU KAMA IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE AU JOE KUSAGA
Posted in Clouds FM, Joe Kussaga, Lady Jay Dee, Ruge Mutahaba
Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, magumu na mepesi
Na bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi kadri ninavyozidi kuwa mkubwa.
Siku za karibuni nimekuwa nikipigwa vita sana na watu wenye uwezo mkubwa kifedha , ki umri na hata wenye ukubwa wa connection katika hii industry ya muziki. Wanaomiliki chombo cha habari.
Nasimama na kusema kuwa sitokata tamaa, kwani lengo lao kubwa ni kuona na kuhakikisha nimeanguka kabisa na sipo katika ramani ya muziki.
Watu hao ambao vita yao ilikuwa baridi miaka kumi iliopita, sasa inazidi kuwa moto baada ya kutambua kuwa mimi ni mtu mwenye maamuzi yangu na misimamo yangu bila kuburuzwa.
Wanapita kila mahali kuhakikisha kila mrija unaoniingizia chochote unakatika, na hiyo ni kutaka kuuthibitishia umma wa Tanzania kuwa hakuna msanii anaeweza ku survive bila wao.
Thursday, June 7, 2012
Dj Fetty kutinga Big Brother Stargame weekend hii
Posted in Big Brother Africa, Big Brother Africa Star Game, Clouds FM, Dj FettyDj wa kwanza wa kike nchini Tanzania Fatma Hassan aka Dj Fetty wa Clouds Fm amepewa heshima ya kuwa Dj wa kwanza wa kike kutoka Afrika Mashariki kutumbuiza kwenye mashindano ya Big Brother Africa.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook Fetty amesema, “Juma mosi hii na jumapili nitakua nikispin ndani ya Jumba la BBA STARGAME, nitume kwa kuniandikia playlist itakayo wapagawisha…na shinda very nice cape ya big brother na high quality Tshirt kutoka CloudsFm…legoooooo.”
Fetty ambaye kwa muda alikuwa amepumzika shughuli za udj na kuendelea na utangazaji wa kawaida, amesema imemlazimu kujifua tena ili kuhakikisha kuwa ‘haangushi maembe’ (kumix vibaya nyimbo) wakati atakapokuwa akipiga ngoma.
Amesema mwaliko huo ameupata katikati ya mwezi May na tangu hapo amekuwa akijikumbushia ujuzi kwenye ‘wheels of steel’ kwakuwa hiyo ni nafasi kubwa inayohitaji maandalizi ya kutosha.
Mwaka jana Dj wa kike kutoka kituo cha radio cha YFM cha Ghana Nana Kessewa Adu aka DJ Kess alialikwa pia kuburudisha kwenye Big Brother Amplified.
Hiyo si mara ya kwanza kwa Dj wa Clouds FM kupata mwaliko huo. Mwaka jana Dj Steve B naye alipewa fursa hiyo ya kuonesha ujuzi wa mikono yake kwenye 1 and 2!
Source: bongo5.com
Friday, May 4, 2012
Wasanii na Wanasiasa waungana kutunga nyimbo ya kumsaidia Sajuki.
Posted in Afande Sele, Amini, Barnaba, Clouds FM, Fid Q, Halima Mdee, Sajuki, THT, Wema Sepetu, Zitto KabweZaidi ya wasanii 25,baadhi ya watu maarufu,na wanasiasa vijana wakiwemo Zitto Kabwe, Halima Mdee, Esther Bulaya, Vicky Kamata na January Makamba wameshiriki katika wimbo,Mboni Yangu ,ambao umetungwa maalumu kwa ajili ya kuhamasisha michango kwa ajili ya msanii Sajuki.
Wimbo huo ambao umetengenezwa katika studio za THT pale Kinondoni jijini Dar-Es-Salaam chini ya produsa Tudd Thomas umefanywa maalum kwa ajili ya kuhamasisha uchangiaji wa fedha za matibabu ya Sajuki ambaye anasumbuliwa na uvimbe ndani ya tumbo lake.
Kwa mujibu wa vyanzo mbali mbali vilvyokuwepo katika utengenezaji wa nyimbo hiyo Jumla ya wasanii 27 wanaofanya aina mbali mbali za muziki kama Bongo Fleva, Hip hop, Taarab na Afro Pop walishirikiana vizuri na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kufanikisha wimbo huo wa Mboni Yangu .
Nyimbo hiyo pia itakuwepo katika muvi ya msanii wastara ambaye ndiye ameshirikiana na Dina Marios wa kipindi cha Leo Tena Clouds Fm kwa pamoja walichagua jina la wimbo huo Mboni Yangu.Kwa mujibu wa Matangazo ya radio clouds asubuhi hii kwenye kipindi cha Teo Tena watu binafsi, ama kampuni au kikundi wanaweza kwenda mjengoni na kuchangia pesa kwa ajili ya matibabu ya msanii huyo ambayo yanatakiwa yakafanyike nchini India baadae mwezi huu.
Malengo ya ukusanyaji ambayo yamewekwa kwa siku ya leo ni angalau shilingi milioni 12.
Baadhi ya waliohusika katika nyimbo hiyo ni pamoja na Chidi Benz, Prof Jay, Ali kiba, Queen Darlin, WemaSepetu, Barnaba, Halima Mdee, Wastara, Mwasiti, Amini, Viki Kamata, Madee, afande Sele, Fid Q, Linex, William Mtitu na Wema Sepetu.
Tayari harambee ya kuchangisha pesa imeshaanza na kwa habari ambazo zimetangazwa mchangiaji wa kwanza ametoa dola 5000 na pia mkurugenzi wa Clouds Media Joseph Kusaga naye ametoa mchango wa Kiasi cha shilingi Milioni 1.
Credits to: bongo5.com
Subscribe to:
Posts (Atom)
Msimamo Ligi Kuu TZ
Popular Posts
-
DOWNLOAD AUDIO TRACK ''BONDI by Watoto wa Bibi JAMBO SQUAD ft JUMA NATURE''
-
Papaa Mafido - My Story (Official Video)
-
Download new Track '' AMEN '' By mWana FA ft. Dully and A.Y
-
VIDEO 18+ : SHOWER SCENES FROM THE BIG BROTHER AFRICA "THE CHASE"
-
Brad Pitt's Night Out With P. Diddy in Cannes Had Pre-Bachelor Party Feel
-
HILI NDO GARI JIPYA LA MSANII JAGUAR KUTOKA KENYA!
-
NEW TRACK: BOB JUNIOR-KICHUNA (FREE DOWNLOAD)
-
'True Blood' Season 5: Tina Majorino's Cast as Another Vampire, Tara's Back
-
Justin Bieber Reveals North American Tour Dates to Promote 'Believe'
-
HII SI YA KUKOSA: MKALI WA TECHNO JanB KUZINDUA ALBUM YAKE MACHI 9
FOLLOW US
NEW BONGO MUSIC
A.B '93 MOBILE APP
Powered by Conduit Mobile
EXTRA BONGO MUSIC
My Top Blogs
LETS CHAT
HABARI ZA BURUDANI ULAYA
Soccer Latest Scores
FOLLOW US NB
KIBONGO ZAIDI
Blog Archive
Arnold Balati 2012. Powered by Blogger.










