Next
Previous
Showing posts with label Stamina. Show all posts

Wednesday, November 27, 2013

0

WIMBO WANGU MPYA UMETOLEWA BILA OFFICIAL RELEASE :STAMINA ALIONGELEA

Posted in
Wimbo wa Stamina Ft Criss Wamarya unaoitwa Mngekuwepo umetoka kimakosa, jana wimbo huu uliwekwa hapa katika website hii mda huu nimetoka kupigiwa simu na Stamina na kuniambia huu wimbo haujatoka kabisa wala hakuwa na plani ya kutoa wimbo huu, Stamina anasema wimbo huu ulikuwa unatakiwa uwe kwenye album na sio wakutolewa. Wimbo ambao alikuwa anatakiwa kuutoa ni mwingine kabisa na utatoka wiki ijayo, Stamini anawaomba radhi mashabiki wake kwa kitendo hiki cha kutolewa huu wimbo na mtu asiyemjua kabisa.


NOTE: Please wimbo huo usichezwe sehemu yoyote umetoka kimakosa,

Tuesday, September 3, 2013

0

STAMINA FT. DARASA & WARDA - MWAMBIE MWENZIO | OFFICIAL VIDEO

Posted in , ,

Thursday, August 15, 2013

0

YOUNG KILLER FT STAMINA & QUICK ROCKER – JANA NA LEO (OFFICIAL HD VIDEO)

Posted in , ,

Wednesday, August 14, 2013

0

YOUNG KILLA, STAMINA & QUICK ROCKA - JANA NA LEO (BEHIND THE SCENE)

Posted in , ,

Thursday, July 25, 2013

0

NEW TRACK: Stamina Ft Darasa & Warda - Mwambie Mwenzio

Posted in , ,


Friday, April 26, 2013

0

DOPE TRACK: YOUNG KILLER FT. STAMINA & QUICK ROCKA

Posted in , ,

Sunday, December 30, 2012

0

YALIYOJIRI 2012 KATIKA SANAA YA MUZIKI BONGO

Posted in , , , , , , ,

Muziki wa bogno umepiga hatua kubwa sana hasa katika mwaka huu. Mengi Yametokea, Vipaji vingi vimejitokeza. Mitindo mingi ya Kimziki na Dansi iliongezeka.

1. Kupaa Kwa Ommy Dimpoz
Pooooz kwa Poz...
Ommy Dimpoz Na Vanessa Mdee
Huu ulikua ni mwaka wa kijana huyu ambaye alianza kwa kutoka na Nyimbo NAI NAI iliyompa tuzo za kili kwa kumshirikisha Ally Kiba, Akaja na BAADAE, na baadae akafunga mwaka kwa nyimbo ya  ME & YOU ft. Vanessa Mdee. Kijana huyu ameepata mafanikio mengi na kupiga hatua moja ikiwa ni kufanya video nchini Afrika Kusini. Kijana huyu pia alitoa malalamiko ya kumshutumu Lord Eyez kuiba PowerWindow za Gari Lake(Rav4).



2. Kuendelea Kuvuma kwa WEUSI.
WEUSI ni Kundi Muanganiko wa wasanii wa Arusha toka kundi la N2N na RiverCamp likijumuisha Wasanii kama Lord Eyez, Joh Makini, G-Nako, Nikki Wa pili na Bonta. Kundi hili limekua na mafanikio mengi huku kashfa aliyoipata Lord Eyez, kulifanya lipate sifa mbaya na wale walioamini hilo.






3. Udhamini wa OSTAZ JUMA NAMUSOMA kwa WATANASHATI
Watanashati wamevuma sana katika mwaka huu, Wamemrudisha PnC katika Fani, Wameokoa kipaji cha Dogo Janja, Suma Mnazaleti kwa udhamini mzuri walionao. Kundi hilo lilizidi kuwa kubwa kadri mda ulivyokwenda, na wamevuma zaidi kwa nyimbo zao. Uwepo wa Marehemu Sharo Millionea na Teja Kitale uliweka uamsho katika kundi.
HONGERA OSTAZ JUMA


Tuesday, October 9, 2012

0

HII SI YA KUKOSA KUONA>>The Cypher (Fiesta 2012) - Various Artists

Posted in , , , , ,


Hii Ni Cyoher Ya Wasanii Mbalimbali Wakati wa FIESTA 2012, SI Ya Kukosa, Ni nzuri sana. NICE FLOW toka Kwa Various Artista wa Hip Hop Bongo

Saturday, October 6, 2012

0

UKIPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA RICK ROSS HAPA TZ UTAMPA NANI???

Posted in , , , , , , , ,
Tumekua Tukizoea Kuona Ambwene Yesaya Akipiga Collabo na Wasanii wa Kimataifa, JE INAPOTOKEA UNAPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA ''THE BOSS'' UTAMCHAGUA NANI??? Pah One, MwanaFA, JohMakini Mwamba Wa Kaskazini Na Weusi, FID Q, Stamina SuperMario, Godzilla, Young Dee, Diamond Platnumz, Ally Kiba AU Msanii Gaani???
#WEKA WAZO LAO HAPA>>>

Friday, July 27, 2012

0

Download NA Skiza Nyimbo NAJUTA by STAMINA na Rich Mavoko

Posted in ,

NEW TRACK: STAMINA FT RICH MAVOKO - NAJUTA

Stamina, sasa atoa ngoma Nyingine na Rich Mavoko, walitoa wote Pamoja Kabwela, na sasa ni ''NAJUTA'' Mskize Mtu Chee Hapa.
SONG: NAJUTA
ARTISTS: STAMINA FT RICH MAVOKO
PRODUCER: KEVY
STUDIO: SNAP RECORDS
SONG WRITER: STAMINA & RICH MAVOKO

Thursday, March 8, 2012

0

INTERVIEW WITH Tanzanian Upcoming Artist/Rapper, "STAMINA"

Posted in ,
#Jina Kamili: Boniventure Kabogo

A.B93: Nini kimekupelekea uitwe/Ujiite STAMINA?
Stamina: Uhimala wangu kwanzia mashairi,sauti,stage na maisha kiujumla

A.B93: Umeingia lini kwenye gem/Nani alikuvutia?
Stamina: Long tym bt nimeanza kujulikana mwaka jana. FID Q ndo mtu aliyenifanya nifanye game coz he iz my godfather

A.B93: Unaonaje Competition ya Mziki type yako Bong?
Stamina: Hakuna mashindano yasiyokua na ushindani kwangu ni kama challenge ya kuzidi kukomaa na kufanya vizuri zaidi

A.B93: Unafkiria Kutoa lini Album
Stamina: Mwezi wa 7 mwishoni

A.B93: So Siku Hizi mziki unaenda na Elimu, we umejipanga vipi Kielimu
Stamina: Nimehitimu kidato cha 6 mwaka huu, Mbezi Beach High School.

A.B93: So kaka Una Demu/au umeoa kabisa?
Stamina: Mimi ni lijali, Nna demu, Mke baadae sana

A.B93: So Apart from Mziki Unafatlia sana kitu Gani?
Stamina:Nacheza Soka, and Ni shabiki wa YANGA kwa Tz, na Wa Man Utd, na Barcelona Ulaya
###Thats how the Interview went.
#Amepiga Show za Kutosha, na anakubalika, kutokana na Mistari yake ya maana.

#Songs Za Stamina Zinazohit:
1.Stamina Ft Rich Mavocal-Kabwela
2.Stamina ft Belle 9-Over size B-52 by Stamina Super Mario
3.Stamina ft Jux-Alisema



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ