Next
Previous
Showing posts with label WEUSI. Show all posts

Saturday, February 8, 2014

0

WALICHOKIONGEA WEUSI JUU YA VIDEO YAO ‘NJE YA BOX’ KUCHEZWA CHANNEL O.

Posted in


Jana ilikuwa siku nzuri kwenye historia ya muziki ya kundi la Weusi linaloundwa na wasanii watano kutoka Kaskazini mwa Tanzania, Arusha, baada ya video ya wimbo wao ‘Nje ya Box’ kuchezwa Channel O.
Joh Makini aka Mwamba wa Kaskazini anaamini walichelewa tu kufika hapo walipofika, lakini pia akawashukuru wale wote waliofanikisha wao kufika pale walipofika.
Ameeleza pia sababu zilizomfanya achelewe kufika hapo na kudai kuwa kutokuwepo umoja kati ya wasanii wa Tanzania kuzisukuma kazi zao ni moja ya kikwazo, na kuutolea mfano umoja uliopo kati ya wasanii wa Nigeria ambao umewawezesha kuiteka Afrika na kuvuka mipaka.

Sunday, February 2, 2014

0

HIZI NI BAADHI YA NYIMBO ZILIZOTOKA TAREHE 31.JAN NA 1 FEB. || PAKUA NA SIKILIZA HAPA

Posted in , ,



Friday, June 28, 2013

0

PICHA: JINSI SHOW YA WEUSI ILIVYOKUA HAPO JANA CLUB71

Posted in , ,
Usiku wa jana ndani ya ukumbi wa disco wa Club 71 ulioko Tegeta Kibaoni ndani ya Jengo la Kibo Complex, kulikuwa na bonge la show kutoka kwa kundi la Weusi, ambapo waliokwenda kuwakilisha kundi hilo ni rapper Nikki Wa Pili pamoja na G-Nako….

Show ilikuwa ni kali sana ilihudhuriwa na watu wengi tuu.

Check baadhi ya picha za kwenye show hiyo …
IMG-20130628-WA0011
IMG-20130628-WA0010

Thursday, June 27, 2013

0

NYIMBO MPYA: JOH MAKINI FT. FUNDI SAMWELI - NIKUMBATIE

Posted in , ,


Joe Makini ametambulisha wimbo wake mpya leo hii "Nikumbatie" akiwa amemshirikisha producer wa wimbo huo "Fundi Samweli."
"Huu wimbo ni wa mapenzi kwasababu wakati nau-record mwanzoni mwa mwaka jana kabla Fundi hajaondoka nilikuwa katika feelings hizo, na ilikuwa nitoe mda kidogo lakini wakati nataka kuuachia Nikki akawa anatoa wimbo wake, baada ya kutoa ikawa niachie lakini kutokana na msiba wa Ngwea na Langa ikabidi nitulie kwanza na sasa naona ni wakati muafaka wa kuachia"
Joe makini pia alizungumzia habari iliyopo sasa ya Mtayarishaji mkali wa Videos za kibongo "Adam Juma" kutangaza kuacha kutengeneza videos na kuangalia michongo mingine.
"Kweli hii habari sio nzuri kwasasbabu sidhani kama kuna atakae ziba pengo lake kwa sasa, ila najipanga kushoot video ya wimbo huu wiki ijayo, na bado sijajua nani atakae fanya video ya wimbo huu". amesema Joe.

Friday, June 14, 2013

0

GET WELL SOON JOH MAKINI (TUMUOMBEE MWENZETU)

Posted in ,

Moja ya rapper memba wa kikundi cha hip hop TZ, Joh Makini, yuko hospitali huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya sana.
Baadhi ya Tweets alizoziweka




Monday, May 20, 2013

0

JINSI WEUSI, WALIVYOMTOA MAMA YEYOO NJE YA BOKSI HAPO JANA

Posted in
 Weusi jana walipiga show iliyopewa jina la "Usiku wa kumtoa mama Yeyoo Nje Box" kwenye ukumbi wa New maisha  club jijini Dar es Salaam,G nako,Nikki wa pili,Joh Makini,Lord Eyez,Peter Msechu, Ben pol walikuwa ni miongoni mwa waliotoa burudani..

Tuesday, May 14, 2013

0

USIKU WA KUMTOA MAMA YEYO NJE YA BOX @ MAISHA CLUB SIKU YA JUMAPILI 19 MAY USIKUOSE

Posted in , ,

Thursday, April 11, 2013

0

LORD EYEZ FT. DAMIAN - MAPITO (NEW AUDIO TRACK)

Posted in ,

Ni brand new track ya rapper Lord Eyes kutoka kundi la Weusi inayoitwa ''MAPITO''.
Ndani ya track hii Lord amemshirikisha msanii wa kizazi kipya akijulikana kama Damian. 
Pia ngoma hii imetengenezwa ndani ya studio ya Bongo Records chini ya Producer P-Funk Majani huku beat ikisukwa na mtu mzima John Mahundi ...

Sunday, December 30, 2012

0

YALIYOJIRI 2012 KATIKA SANAA YA MUZIKI BONGO

Posted in , , , , , , ,

Muziki wa bogno umepiga hatua kubwa sana hasa katika mwaka huu. Mengi Yametokea, Vipaji vingi vimejitokeza. Mitindo mingi ya Kimziki na Dansi iliongezeka.

1. Kupaa Kwa Ommy Dimpoz
Pooooz kwa Poz...
Ommy Dimpoz Na Vanessa Mdee
Huu ulikua ni mwaka wa kijana huyu ambaye alianza kwa kutoka na Nyimbo NAI NAI iliyompa tuzo za kili kwa kumshirikisha Ally Kiba, Akaja na BAADAE, na baadae akafunga mwaka kwa nyimbo ya  ME & YOU ft. Vanessa Mdee. Kijana huyu ameepata mafanikio mengi na kupiga hatua moja ikiwa ni kufanya video nchini Afrika Kusini. Kijana huyu pia alitoa malalamiko ya kumshutumu Lord Eyez kuiba PowerWindow za Gari Lake(Rav4).



2. Kuendelea Kuvuma kwa WEUSI.
WEUSI ni Kundi Muanganiko wa wasanii wa Arusha toka kundi la N2N na RiverCamp likijumuisha Wasanii kama Lord Eyez, Joh Makini, G-Nako, Nikki Wa pili na Bonta. Kundi hili limekua na mafanikio mengi huku kashfa aliyoipata Lord Eyez, kulifanya lipate sifa mbaya na wale walioamini hilo.






3. Udhamini wa OSTAZ JUMA NAMUSOMA kwa WATANASHATI
Watanashati wamevuma sana katika mwaka huu, Wamemrudisha PnC katika Fani, Wameokoa kipaji cha Dogo Janja, Suma Mnazaleti kwa udhamini mzuri walionao. Kundi hilo lilizidi kuwa kubwa kadri mda ulivyokwenda, na wamevuma zaidi kwa nyimbo zao. Uwepo wa Marehemu Sharo Millionea na Teja Kitale uliweka uamsho katika kundi.
HONGERA OSTAZ JUMA


Sunday, December 23, 2012

0

NEW TRACK: LORD EYEZ-NO MORE DRAMA FT. BEN POL(BABA LA BABA)

Posted in , ,
 


Baba La Baba, Ni Track mpya toka kwa King Easy. The Long awaited track toka kwa Mweusi Lord Eyes akiwa amemshirikisha Ben Pol.

Monday, December 17, 2012

0

23/12/2012 FUNGA MWAKA LA WEUSI (SUPRIZE KIBAO, UZINDUZI WA BUM KUBAM DVD, NA NYIMBO MPYA YA LORD EYEZ)

Posted in , , , ,
      

Hii ni ile ya mwisho kabisa kwa mwaka huu, WEEEUUUSSIIII kutoka ARA-CHUGGA!!! G-Nako a.k.a G WaraWara, Nikki Wa II, Joh Makini a.k.a Mwamba Wa Kaskazini, Lord Eyes a.k.a King Easy na Bonta. Hii inafunga mwaka huu kwa sababu kuu Tatu, Yeah!! 3...
  •  Show Kali ya WEUSI, ambapo ni Top 20 za WEUSI.
  •  Uzinduzi wa Ngoma Jipya la Lord Eyes, yep ni ile ambayo inasuburiwa kwa hamu na fans.
  •   Uzinduzi wa DVD ya BUM KUBAM kutoka kwa Nikki Wa II ikiwa ni pamoja na aina ya uuzaji mpya utakaoonekana pale.
  Yeeeeap yote hayo  ni jumapili ya tarehe 23 ndani ya New Maisha Club, Historia Nyingine hii hapa na Mwaka Unafungwa kinamna hii...

Sunday, November 11, 2012

0

VIDEO YA LORD EYEZ akizungumza na waandishi wa habari!! TUIPE MAHAKAMA MUDA, NAAMINI NTAPATA HAKI YANGU

Posted in , ,

Rapper wa kundi la Weusi, Lord Eyez amewataka wananchi kuiachia mahakama iamue hatma yake na kujizuia kumuita mhalifu kwakuwa bado chombo hicho cha sheria hakijatoa maamuzi yake.
Rapper huyo ametoa wito huo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa hoteli ya Double View iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam.
Lord Eyez alikuwa ameambatana na mwanasheria wake Peter Kibatala pamoja na members wenzie wa Weusi, Nikki wa Pili na G-Nako.
“Naomba tuipe muda mahakama naamini ntapata haki yangu na uhakika Mungu yuko pamoja nami na mafans wangu poleni sana naomba mnipe nafasi yenu nipate haki yangu niendelee kulisha madini sababu ninayo mengi lakini nimekuwa na misukosuko mingi ambayo Mungu pekee ndio anaweza kujua ukweli,” alisema Lord Eyez.
Unajua maisha yana milima na mabonde ndio nimekuwa mtoto wa kiume naweza kuvumilia lakini ni wakati mgumu sana kwangu na vitu ambavyo sijazoea, nimepitia maisha ambayo sijawahi kuyaona mengine,lakini all in all King Eazy kuna trak mpya inakuja so keep tuning, media support nini cause am not a criminal.”



     Kwa upande wake mwanasheria wake ambaye alisema lengo la kukutana na waandishi wa habari ni kuweka ‘record’ sawa tofauti na watu walivyolisikia tuki hilo, alidai kuwa tarehe 20 mwezi uliopita Lord Eyez alipigwa simu na mtu ambaye walikuwa wamefahamiana kwa muda mfupi na kuamini kuwa alimtaka kwenda kuzungumza masuala ya kijamii.

Friday, November 9, 2012

0

LORD EYEZ KUONGEA NA WAANDISHI WA HABARI HAPO KESHO

Posted in , ,
 


Rapper wa kundi la Nako 2 Nako Soldiers na Weusi, Lord Eyez, kesho anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari kuelezea shutuma dhidi yake za kudaiwa kushiriki kuiba vifaa vya gari vya Ommy Dimpoz.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na rapper wa Arusha ambaye pia ni member wa Weusi, Nikki wa Pili, Lord Eyez atakuwa na mwanasheria wake.
Amesema mkutano huo na waandishi wa habari utafanyika katika hoteli iliyopo jirani na Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Lord Eyez yuko nje kwa dhamana na anakabiliwa na makosa zaidi ya 30 katika kesi hiyo.

Sunday, October 14, 2012

0

VIDEO YA PEA BY WEUSI

Posted in , , ,


Kutoka A town city tunakutana na Weusi ni moja kati ya makundi ya Hip Hop yanayotikisa huu muziki wa hapa Bongo Land hata nje ya Bongo Land.Nafahamu kwamba kila mmoja alikuwa anajiuliza kuhusiana na video yao ya PEA sasa basi video imetoka na ni bonge la video kweli weusi wametisha mbayaaaa ebu fanya kama una click hapo chini halafu uone jinsi wakali hawa wana haki ya kupewa heshimu katika muziki huu wa Hip Hop.

Saturday, October 6, 2012

0

UKIPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA RICK ROSS HAPA TZ UTAMPA NANI???

Posted in , , , , , , , ,
Tumekua Tukizoea Kuona Ambwene Yesaya Akipiga Collabo na Wasanii wa Kimataifa, JE INAPOTOKEA UNAPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA ''THE BOSS'' UTAMCHAGUA NANI??? Pah One, MwanaFA, JohMakini Mwamba Wa Kaskazini Na Weusi, FID Q, Stamina SuperMario, Godzilla, Young Dee, Diamond Platnumz, Ally Kiba AU Msanii Gaani???
#WEKA WAZO LAO HAPA>>>
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ