Ifanye Biashara Yako Iwe Inajulikana, Na Upate Wateja Wengi.
Kwa Vifaa Vyote Vya Michezo, Jijini Arusha, Wako Opposite Msikiti Mkubwa, Karibu na CCM Mkoa Wapo Pia Moshi na Babati, Tembelea Sasa
Pata Products Za Forever Living Kwa Afya Yako, Bila Kusahau Vipodozi. Piga 0755-029901.
Kwa Huduma Za KIMAPISHI, Katika Events Mbalimbali, Harusi, MISIBA, Barikio, Send Off nk.
Photo Editing, Graffiti Editions, Pia Kufanya Retouching. Kutengeneza Posters(MABANGO)
Next
Previous
Monday, February 3, 2014
Sunday, February 2, 2014
HIZI NI BAADHI YA NYIMBO ZILIZOTOKA TAREHE 31.JAN NA 1 FEB. || PAKUA NA SIKILIZA HAPA
Posted in 20 Percent, Lady Jay Dee, WEUSIONA JINSI JOKATE ALIVYOMMWAGIA MAHELA WEMA SEPETU HUKU WAKICHEZA NGOLOLO HUKO ARUSHA
Posted in Aunt Ezekiel, Diamond Platnumz, Jokate Mwegelo, Kajala, Wema Sepetu
Hii ilikuwa usiku wa jana tarehe 1 pale
Triple A Club iliyopo pande za Arusha, ilikuwa ni show ya Ma divas
ambapo walikuwepo kama Wema Sepetu, Kajala, Aunt Ezekiel pamoja na
Jokate ambaye hakuwepo kwenye banners. Mara wakazi wa Arusha ndipo
walipoanza kupiga shangwe pale Jokate alipoanza kumwagia mijihela
mwanadada Wema stejini huku DJ akiwapigia wimbo wa Diamond unaoitwa My
Number One.
THE GLADIATORS(AY NA MWANA FA) KUFANYA SHOW YA PAMOJA NA SOULJA BOY PAMOJA NA SEAN KINGSTON
Posted in A.Y, Mwana FA, Sean Kingston, Soulja Boy
Kama mipango ikienda sawa, kuna uwezekano
The Gladiators (Mwana FA na AY) wakapanda steji moja na Sean Kingston
na Soulja Boy kwenye show itakayofanyika April 5, jijini Lancaster,
California nchini Marekani.
Promoter wa kimataifa, Hemdee Kiwanuka,
aliyeandaa show hiyo, amewauliza AY na Mwana FA kama wanaweza kuwepo
kwenye show hiyo, nao wakajibu kuwa inawezekana.
Hemdee ametweet: @AyTanzania On April
5th We’re doing @SeanKingston & @souljaboy @uavpec in Lancaster, Ca
Can U & @MwanaFA make the show? It’s gonna be crazy!
AY alijibu: Yeah we can make it happen” huku FA akijibu: ofcoz,yeah
Na mwisho Hemdee alimalizia kwa kujibu: I am going to start making arrangements. ON APRIL 5TH… WE’RE GOING TO SHOW THEM HOW WE DO THIS SON…
SOURCE: http://www.binamu13.com/
PAKUA NA SIKILIZA NYIMBO MPYA TOKA KWA BOU NAKO FT. J' DEAL - NIMEJIFUNZA
Posted in Bou Nako, J' Deal
BouNako katika kujiandaa kudrop Album yake hivi karibuni anakupa single “Nimejifunza” ikiwa ni ngoma toka Noizmekah chini ya Defxtro, amemshirikisha J Deal katika chorus, kuDownload/Kuisikiliza Bofya HAPA na kwa maelezo/Mahojiano zaidi check na BouNako kwa Namba +255 718 396 869 na J Deal kwa +255 718 515 772 powered by www.vmgafrica.com
–BouNako ft J Deal-Nimejifunza (NOIZ) http://goo.gl/fnz0CY
MKALI WA HIP HOP D.KNOB KURUDI HIVI AKISINDIKIZWA NA MWANADADA MWASITI
Posted in D'Knob, MwasitiMkali wa Hip Hop nchini anajulikana kwa jina D’Knob ameamua kuuvunja ukimya wa muda mrefu na kuamua kurudi tena kwenye game mwaka huu 2014. D’Knob anatarajia kutoa wimbo wake mpya tarehe 4 mwezi huu wa pili akiwa amemshirikisha msanii wa kike anayejulikana kwa jina moja tu MWASITI. Nishike Mkono ndio jina la wimbo huo mpya anaoutoa ukiwa umesimamiwa vizuri kabisa na Producer VILLY
Subscribe to:
Posts (Atom)
Msimamo Ligi Kuu TZ
Popular Posts
-
DOWNLOAD AUDIO TRACK ''BONDI by Watoto wa Bibi JAMBO SQUAD ft JUMA NATURE''
-
Papaa Mafido - My Story (Official Video)
-
Download new Track '' AMEN '' By mWana FA ft. Dully and A.Y
-
VIDEO 18+ : SHOWER SCENES FROM THE BIG BROTHER AFRICA "THE CHASE"
-
Brad Pitt's Night Out With P. Diddy in Cannes Had Pre-Bachelor Party Feel
-
NEW TRACK: BOB JUNIOR-KICHUNA (FREE DOWNLOAD)
-
HILI NDO GARI JIPYA LA MSANII JAGUAR KUTOKA KENYA!
-
'True Blood' Season 5: Tina Majorino's Cast as Another Vampire, Tara's Back
-
Justin Bieber Reveals North American Tour Dates to Promote 'Believe'
-
HII SI YA KUKOSA: MKALI WA TECHNO JanB KUZINDUA ALBUM YAKE MACHI 9
FOLLOW US
NEW BONGO MUSIC
A.B '93 MOBILE APP
Powered by Conduit Mobile
EXTRA BONGO MUSIC
My Top Blogs
LETS CHAT
HABARI ZA BURUDANI ULAYA
Soccer Latest Scores
FOLLOW US NB
KIBONGO ZAIDI
Blog Archive
Arnold Balati 2012. Powered by Blogger.






