Ifanye Biashara Yako Iwe Inajulikana, Na Upate Wateja Wengi.
Kwa Vifaa Vyote Vya Michezo, Jijini Arusha, Wako Opposite Msikiti Mkubwa, Karibu na CCM Mkoa Wapo Pia Moshi na Babati, Tembelea Sasa
Pata Products Za Forever Living Kwa Afya Yako, Bila Kusahau Vipodozi. Piga 0755-029901.
Kwa Huduma Za KIMAPISHI, Katika Events Mbalimbali, Harusi, MISIBA, Barikio, Send Off nk.
Photo Editing, Graffiti Editions, Pia Kufanya Retouching. Kutengeneza Posters(MABANGO)
Next
Previous
Showing posts with label Ritah Poulsen. Show all posts
Friday, August 30, 2013
Thursday, August 8, 2013
HIZI NDO SABABU ZILIZOMFANYA MADAM RITHA, AIHAMISHIE BSS TBC1
Posted in Bongo Star Search, DSTV, Epiq Bongo Star Search, ITV, Ritah Poulsen, Star Times, TBC 1, Zuku
Epiq Bongo Star Search ya mwaka 2013 haitaoneshwa tena kupitia ITV. Mwaka huu shindano hilo la kusaka vipaji vya kuimba litakuwa likioneshwa kupitia TBC1.
Kupitia Facebook, Rita Paulsen aka Madam Rita ambaye ni mwanzilishi na jaji mkuu wa shindano hilo ametoa sababu mbili za kuhamisha matangazo hayo kutoka ITV hadi TBC1.
“Baada ya kusoma maoni yenu, ningependa kufafanua sababu mbili za kurusha Epiq Bongo Star Search 2013 kupitia kituo cha Televisheni cha TBC1.
Kwanza kabisa ni sababu za kibiashara ndio zimepelekea kipindi cha EBSS kurushwa kupitia TBC1 na sababu ya pili ni kwamba baada ya kwenda kidigitali, TBC1 sasa inapatikana kwenye ving’amuzi karibia vyote vikiwemo Star Times, DSTV na Zuku.”
Sunday, September 30, 2012
KWANINI WASHINDI WA BSS HUFA BAADA YA MASHINDANO?
Posted in Master Jay, Ritah Poulsen, Salama Jabir
Leo wakati nakula chakula cha usiku nyumbani nikatumiwa text na mdogo wangu fulani hivi ambaye ndiye mmiliki wa Blogu Hii,Arnold Balati ''oya,cheki huyo mwanamke BSS anaimba nyimbo ya Adele'' basi bila hiyana nikachukua remote na kuweka ITV,yaani vitu nilivyovikuta huko ndani ni vya kusikitisha kwenye hili shindano wanaloita wenye Epic Bongo Star Search,hebu tujiulize kidogo ni mshindi gani wa Bongo Star Search unayemjua wewe anayekaribia hata robo ya msanii wa kawaida wa Tanzania,yaani mimi nawaona kama wanapotezewa muda wao..
Tujiulize washindi mbona hawasikiki baada ya mashindano kuisha,huwaga wanaenda wapi??lini mara ya mwisho umesikia ''ile nyimbo nzuri sana,yule ni mshindi wa BSS mwaka fulani''
Niwe mkweli tu,nimekuwa nikifuatilia mashindano makubwa kama X-Factor,American Idol na The Voice kwa kweli judges wana mchango mkubwa katika kumtengeneza au kumbomoa mshiriki/msanii
Kwetu Tanzania majaji wanaongoza kuharibu washiriki kwa asilimia 80,wanaoweza wanaamiwa hawajui na wasioweza wanaambiwa ''wimbo mgumu ila wewe unaweza na ni staa'' Jamani!
Madam Rita= mfanyabiashara huyu anajua nini kuhusu music kama sio kutuharibia washiriki
Salama= Nilisema,Maisha Plus kunamuhitaji akaendeshe kipindi,sio jaji wa muziki huyu
Master J= ana akili ya kutengeneza beat na sio kujaji uwezo wa mshiriki
Kitime yuko wapi?Jay Dee anatakiwa,anaujua muziki na umemletea mafaniio ya kukubalika ndani na nje,AY je? mbona hatuweki majaji wa maana???
Sina beef na mtu,ni mawazo yangu tu!!
EBSS BADILISHENI MAJAJI!!
Tujiulize washindi mbona hawasikiki baada ya mashindano kuisha,huwaga wanaenda wapi??lini mara ya mwisho umesikia ''ile nyimbo nzuri sana,yule ni mshindi wa BSS mwaka fulani''
Niwe mkweli tu,nimekuwa nikifuatilia mashindano makubwa kama X-Factor,American Idol na The Voice kwa kweli judges wana mchango mkubwa katika kumtengeneza au kumbomoa mshiriki/msanii
Kwetu Tanzania majaji wanaongoza kuharibu washiriki kwa asilimia 80,wanaoweza wanaamiwa hawajui na wasioweza wanaambiwa ''wimbo mgumu ila wewe unaweza na ni staa'' Jamani!
Madam Rita= mfanyabiashara huyu anajua nini kuhusu music kama sio kutuharibia washiriki
Salama= Nilisema,Maisha Plus kunamuhitaji akaendeshe kipindi,sio jaji wa muziki huyu
Master J= ana akili ya kutengeneza beat na sio kujaji uwezo wa mshiriki
Kitime yuko wapi?Jay Dee anatakiwa,anaujua muziki na umemletea mafaniio ya kukubalika ndani na nje,AY je? mbona hatuweki majaji wa maana???
Sina beef na mtu,ni mawazo yangu tu!!
EBSS BADILISHENI MAJAJI!!
Subscribe to:
Posts (Atom)
Msimamo Ligi Kuu TZ
Popular Posts
-
DOWNLOAD AUDIO TRACK ''BONDI by Watoto wa Bibi JAMBO SQUAD ft JUMA NATURE''
-
Papaa Mafido - My Story (Official Video)
-
Download new Track '' AMEN '' By mWana FA ft. Dully and A.Y
-
VIDEO 18+ : SHOWER SCENES FROM THE BIG BROTHER AFRICA "THE CHASE"
-
Cassim Mganga Ft Akili The Brean - Majeraha ( Official Video )
-
'True Blood' Season 5: Tina Majorino's Cast as Another Vampire, Tara's Back
-
NEW TRACK: BOB JUNIOR-KICHUNA (FREE DOWNLOAD)
-
HII SI YA KUKOSA: MKALI WA TECHNO JanB KUZINDUA ALBUM YAKE MACHI 9
-
HILI NDO GARI JIPYA LA MSANII JAGUAR KUTOKA KENYA!
-
Justin Bieber Reveals North American Tour Dates to Promote 'Believe'
FOLLOW US
NEW BONGO MUSIC
A.B '93 MOBILE APP
Powered by Conduit Mobile
EXTRA BONGO MUSIC
My Top Blogs
LETS CHAT
HABARI ZA BURUDANI ULAYA
Soccer Latest Scores
FOLLOW US NB
KIBONGO ZAIDI
Blog Archive
Arnold Balati 2012. Powered by Blogger.






.jpg)
.jpg)
.jpg)

