Next
Previous
Showing posts with label Ney Wa Mitego. Show all posts

Friday, August 30, 2013

0

BIFU LA NAY WA MITEGO NA MADAM RITHA NI STORI ZA MTAANI: ANGALIA WAKIWA PAMOJA

Posted in , , ,

Takribani yapata wikii ya tatu baada ya Msanii
Nay wa Mitego kuachia kibao chake kinachotamba kama
Salamu zao....ndani ya nyimbo hiyo ametoa
kama kufikisha ujumbe kwa watu kadhaa,

Thursday, August 8, 2013

0

NEW VIDEO: NAY WA MITEGO FT. DIAMOND PLATNUMZ-MUZIKI GANI PART II

Posted in ,

Thursday, August 1, 2013

0

NYIMBO MPYA: NAY WA MITEGO - SALAM ZAO (DOWNLOAD AND LISTEN}

Posted in ,


Tuesday, July 23, 2013

0

NAY WA MITEGO ASEMA ATAMPIGIA KAMPENI MH. LOWASSA 2015

Posted in , ,

Haya  ni  mashairi  aliyoyaandika Nay wa  mitego  kwenda  kwa  mtoto  wa  Rais  a.k.a Riz One  akimtaka  amwambie  baba  yake  kuwa  mtwara  hawataki  korosho, wanataka   gesi  na  pia Lowassa  asiache  kugombea  urais  maana  yupo  tayari  kumpigia  kampeni-2015


----------------
MASHAIRI YAKE:
Naongea na Riz one hey Riz One, we si mtoto wa raisi Riz one. Mwambie dingi yako Masela hawamuelewi wamakonde wa Mtwara hawataki tena Korosho, wanaitaka ges si mtawaua na mkong'oto?! Nani rafiki wa Lowasa anifikishie salam 2015 nataka agombee uraisi nitamfanyia kampeni wananchi wampe nafasi,
# Salam zao#
my new track coming soon.!!



Friday, June 28, 2013

0

KUTOKA FACEBOOK: CHIDI BEENZ AOMBA VERSE YAKE IFUTWE KWENYE NYIMBO ALIYOFANYA NA BAGHDAD

Posted in , ,
HAPA WAKIWA LOCATION

Status Aliyoandika Baghdad



0

BEHIND THE SCENE: WAAMBIE NIPO- BAGHDAD FT. CHIDI BENZ, NAY WA MITEGO

Posted in , ,
0

DIAMOND NA NAY WA MITEGO KUACHIA NGOMA NYINGINE

Posted in ,


Wakali wa ngoma “MUZIKI GANI” , yaani Nay Wa Mitego Na Diamond wako njiani kuachia ngoma nyingine wakiwa katika collabo … Inasadikika kuwa Platnumz na Wa Mitego wamesharekodi ngoma kadhaa ikiwemo SALAMU ZAO, UTAKULA JEURI YAKO na nyinginezo ila wanashauriana ni ipi ya kutoa …

MUZIKI GANI imefanya vizuri sana na wasanii hawa na hakutakuwa na tatizo kama wakiendeleza kazi zao kwa pamoja … Wasanii hawa wako kwenye ziara zao tofauti kimuziki lakini tuwategemee tena na ngoma nyingine kali …

Tuesday, May 28, 2013

0

NEY WA MITEGO: ASILIMIA KUBWA YA WASANII WANAOOA AU KUOLEWA WANAFELI KIMUZIKI

Posted in

Ikiwa ni miezi mitatu tu imebaki girlfriend wa Rapper Ney wa mitego "Siwema" kujifungua, Ney ameongea juu ya kushuka kwa mafanikio ya wasanii mara baada ya kuoa, ambapo yeye hatarajii kuoa hivi karibuni.
Ney amesema wengi wa wasanii bongo mara tu baada ya kuoa wanashuka kimziki na kuwataja majina kwa kuwatolea mfano ambapo amesema Marlow kapotea baada ya kuoa, Matonya, Z Anto na Shetta pia nyimbo zake kadhaa zimebuma baada ya kuoa.
"kuna ngoma yangu inaitwa "utakula jeuri yako", ambayo inaelezea vitu vyote hivyo, ambavyo may be watu hawavijui, aaah na pia inaonyesha unatakiwa kufanya nini ukiwa kwenye mazingira hayo, ya kwamba tayari umeshakuwa kwenye ndoa, wasanii wengi sana sio tanzania tu dunia nzima, ukioa au ukiolewa na game yako inaisha, otherwise unatakiwa kuwa mjanja sana, kama alivyokuwa mjanja Jay Z na Beyonce, zipo techniques ambazo unatakiwa kufanya, sio kukurupuka tu na kuoa, na ndio maana asilimia kubwa hasa kibongo bongo sisi wengi ambao wameoa wamefeli , kwa aslilimia nyingi sana wamefeli  ijapokuwa hili tatizo ni la dunia nzima."
"wapo wengi ndugu yangu Matonya alipotea, Z Anto alivyooa kapotea, Marlow alivyooa kapotea, Shetta kaoa juzi tu zimebuma kadhaa hapa katikati, nafikiri hii ni mifano hai ambayo ipo, so watu wanatakiwa kujipanga, so ukiskia mi nimeoa ujue nimejipanga, najua hatua mia zitakuja mbele, cause i know what am doing, hao waliooa wana nyimbo nyingi nzuri na zinatoka lakini zinakuwa hazikiki kama mwanzo walivyokuwa wakitoa nyimbo, sio kwamba wanakuwa hawarikodi wanarikodi , wimbo mzuri, na kiwango chako kinaweza kuwa hakijashuka, lakini mapokeo yanakuwa ni tofauti, na sio msanii tu hata wafanya biashara na watangazaji pia." amesema Ney wa mitego

Sunday, May 19, 2013

0

JINSI SHOW YA UZINDUZI WA VIDEO YA MUZIKI GANI ULIVYOKWENDA | DIAMOND NA NAY WA MITEGO WAPAGAWISHA MASHABIKI

Posted in ,
Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki. 
Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.

Tuesday, May 14, 2013

0

UZINDUZI WA VIDEO YA NAY WA MITEGO FT. DIAMOND - MUZIKI GANI | KUFANYIKA WEEKEND HII

Posted in ,

Saturday, May 11, 2013

0

MAONI YA FID Q KUHUSU TRACK MPYA YA NIKKI MBISHI-NEY WA MITEGO

Posted in , ,

Rapper mkali kutoka MWANZA, FID Q ameonekana kuutazama wimbo mpya wa NIKKI MBISHI kama moja ya vitu vinavyoweza kupekea BEEF kubwa kati ya msanii huyo na NEY WA MITEGO ...
FID Q aliyasema hayo kupitia ukurasa wake wa twitter baada ya kuulizwa swali kwenye program yake ya mara kwa mara mtandaoni humo ya #ASKFidQ kuhusiana na wimbo huo ...
Swali lilikuwa hivi: Nini mawazo yako juu ya nikki mbishi na his new track (ney wa mitego) ??
@FidQ akajibu, "Nisingependa kuona beef kati yao ..."
FID is one of the illest Hip-Hop emcees in TANZANIA na hilo halina ubishi, ni lipi ameliona katika mdundo huu wa HIP-HOP wa NIKKI MBISHI ?? BEEF kali kuibuka ??
Anyway, ngoja tuskilizie tuone ... Na kama hujausikia mdundo huo wa NIKKI MBISHI unaofahamika kama NEY WA MITEGO, usikilize na kuuchukua hapa chini

Wednesday, May 8, 2013

0

NICKI MBISHI - NEY WA MITEGO | NEW MUSIC

Posted in ,


Ile ngoma ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu baada ya kutangazwa kwa muda mrefu na kusikika chini chini toka kwa rapper NIKKI MBISHI imeachiwa rasmi leo ...
Nikki amesema kuwa ngoma hiyo ambayo inakwenda kwa jina la "NEEMA WA MITEGO" ameiita hivyo kama tu ni jina la kawaida akiwa amelenga kwenye burudani zaidi na wala hakuna BEEF na mtu yeyote linaloendelea ...

Saturday, April 27, 2013

0

GARI JIPYA LA NAY WA MITEGO PICHANI AKIONESHA NA BASTOLA ANAYOMILIKI

Posted in
Mwaka 2013 ni mzuri kwa rapper Nay wa Mitego. Licha ya kuwa na hit single hewani, Muziki Gani aliyomshirikisha Diamond, rapper huyo amenunua ndinga mpya aina ya Mark X yenye thamani ya shilingi milioni 35. Kama hiyo haitoshi, hitmaker wa Nasema Nao, amejihami pia kwa kununua bastola.
29ddba2cae6b11e2aeda22000a1f973b_7
Nay akiwa na bastola yake
Nay ameshare picha hizo kwenye Instagram na Facebook ambapo miongini mwa picha za gari lake ameandika, ‘My new car. Mark X, Zic z wat I nid.” Mwaka huu Nay ametumiwa kwenye show nyingi za Airtel na Vodacom ambazo huenda zimemwingizia mkwanja wa kutosha.
d07e1cfaae6b11e2b09522000a1f9363_7



Wednesday, April 17, 2013

0

BEHIND THE SCENE: MUZIKI GANI-NAY WA MITEGO FT DIAMOND

Posted in ,
Napenda kumshukuru Mungu kwa siku ya jana..... tarehe 16
 mwezi wa 4...mapema asubuhi
ya jana...Tukifanikisha kile watu wengi walichokuwa wakikisubiria kwa hamu.....
Tulikuwa location jana na brother wangu kabisa,

The True Boy Nay wa Mitego
wakati tukishoot video ya New Hit Song yake akiwa 

amenishirikisha humo ndani..!
Namshukuru Mungu kwa uwezo wake kufaikisha 

mipango yote ya location kwenda
saawia kabisa na kufanya wepesi kwa kila jambo.....pia 

bebez kali zote za town walishow
love kufika na ballerz walionesha ushirikiano....!!

Napenda Pia kuushukuru Uongozi mzima wa New

 Africa Hotel.....kwa location ya
casino.....pia na uongozi mzima na wafanyakazi wa

 New Africa hotel upande
wa Casino....!!
video ilianzia hapa new africa hotel na kumalizikia 

Sinza uwanja wa kinesi
kwa upande wa Mkong'oto Jazz Band walipoonesha 
umahiri wao kuchora
Graphics..... Production ikiwa imesimamiwa na The Bigdaddy Adam Juma
chini ya NEXT LEVEL

Zifuatazo ni Picha Mbalimbali za Location ya video shooting ya Muziki Gani...
LOCATION ILIANZIA HAPA....

Matayarisho yakianza....!!
Lights On.....Camera On Set....!!
Mara Bangi ,Mara Matusi sa ndo Muziki gani....?
Usafii kama kawaida yangu.....!!
DJ Ommy Crayz the only handsome dj in town akiwa na msanii nguli kutoka
South Africa Qboy Mnyama....!!
Dada yangu kipenzi Halima kimwana alikuwepo asubuhi asubuhi
kuakikisha mambo yakienda saawia...along side with Twins Fashion...!!

Diamond Platnumz with Flowers....!
From Left to Right.....Qboy Mnyama...Esma Khan,Faridah,Mariam and the President
Himself Diamond...!!





Bebez wakali waliofurika kushow Love kwenye video ya Muziki Gani...!
President wa wasafi Diamond Platnumz akiwa na flowers...!

The Bigdaddy Himself Adam Juma akifanya yake....!!
Ilikuwa Location upande wa Casino.....






Baada ya kumaliza shooting ya pale casino,safari ilianza kuelekea sinza kumaliza
shooting kwenye Graphic iliyochorwa na Mkong'oto Jazz Band....!!

WASAAAFIIIIII......!!
Maandalizi yakaanzia hapa...baada ya kuwasili sinza....!!

MKONG'OTO JAZZ BAND....!!



Jamaa huyu ndo aliechora graphics zote kutoka mkong'oto jazz band
na kuchora michoro tofauti ....!!






on set...location #2 sinza.......
DJ OMMY CRAYZZ...!




Kwa michezo ya kuringa ringa ndio wanadata....













Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ