Next
Previous
Showing posts with label Oljoro JKT. Show all posts

Saturday, October 27, 2012

0

YALIYOJIRI LIGI KUU TANZANIA BARA NA RATIBA YA MECHI ZIJAZO:: NA WENZETU SOKA IN BONGO

Posted in , , , ,

VPL: Simba yaipiga Azam, Yanga yaipiku Azam nafasi ya 2!!

Jumamosi, 27 Oktoba 2012 20:14
Chapisha Toleo la kuchapisha
VPL_LOGOKatika mfululizo wa Mechi za Ligi Kuu Vodacom, VPL, zilizochezwa leo, Mabingwa watetezi Simba wamefanikiwa kuichapa Azam bao 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kuendelea kubaki kwenye uongozi huku Yanga, wakiwa huko Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha wakiifunga JKT Oljoro bao 1-0 na kuipokonya Azam nafasi ya Pili kwenye Msimamo wa Ligi.
++++++++++++++++++++++++++
MATOKEO/RATIBA:
Oktoba 27
Simba 3 Azam 1
JKT Oljoro 0 Yanga 1
African Lyon v Kagera Sugar
Mgambo JKT v Tanzania Prisons
Ruvu Shootings v Polisi Morogoro
++++++++++++++++++++++++++
Bao la ushindi la Yanga lilifungwa na Mbuyu Twite katika Dakika ya 53.
Katika Mechi ya Simba na Azam, John Bocco ndie alietangulia kuifungia Azam bao moja katika Dakika ya 5 lakini Simba ikazinduka na kupiga Bao 3 kupitia Felix Sunzu, Dakika ya 7, na bao mbili za Emmanuel Okwi.
++++++++++++++++++++++++++
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ