Next
Previous
Showing posts with label Octopizzo. Show all posts

Friday, August 30, 2013

0

NEW VIDEO: OCTOPIZZO - NINI (OFFICIAL)

Posted in

Monday, July 8, 2013

0

OCTOPIZZO KUACHIA ALBUM YAKE MPYA(DEBUT) MWAKA HUU

Posted in


Rapper kutoka Kenya, akiwakilisha KIBERA (Number 8) will drop his 1st SOLO album mwaka huu … Octo ambae anatamba na ngoma kama IVO IVO, SO ALIVE, SWAG na nyinginezo anadai ameshamaliza kurekodi ngoma hizo na amewaomba fans wake kumpatia jina la ALBUM hiyo …

Octo amekuwa ni msanii/rapper anaefanya buzz kubwa sana nchini Kenya especially at the capital city – NAIROBI … Unaweza kupitia kwenye page ya Octo sasa hivi na kutoa pendekezo la jina hio …

Monday, July 1, 2013

0

JUST A BAND FT. OCTOPIZZO & STAN – DUNIA INA MAMBO

Posted in , ,

Ni video mpya ya wasanii kutoka Kenya, JUST A BAND wakiwa wameshirikiana na rapper OCTOPIZZO na STAN … Ngoma ya video hii inajulikana kama DUNIA INA MAMBO ambayo kwenye video yake inaonekana kuwa shot kizamani na hivyo kuleta mvuto wa kitofauti sana …

Saturday, May 18, 2013

0

LIST YA WATU MAARUFU KUTOKA KENYA NA TANZANIA, AMBAO WAMETAJWA NA MTANDAO WA KENYA KUA NI MAFREEMASONS | WACHAFUZI WA MAJINA YA WATU |

Posted in , , , , ,
Inawezekana kila kitu kina wakati wake, kuna muda watu walikuwa wakisikia neno ‘Freemason’ ama ‘Illuminate’ kama inavyojulikana nchini Kenya wengi walikuwa wanaiona ni habari kubwa, lakini kwa sasa hivi inaweza kuchukuliwa kama sio big deal.

Sababu ni ile ile kuwa wengi wanaoendelea kwa haraka ama kuwa juu katika kile wanachokifanya basi utasikia huyo ni member wa Freemason, kwa upande wa Marekani wanasema ‘he/she just sold her/his soul to the devil’.  Japo kwa upande wa Marekani wapo wanaokiri kufanya hivyo kweli, ila kwa Africa Mashariki hakuna msanii aliyewahi kukiri.
Lakini yote hayo ni kama yanakanganya na kuonekana kama hayana mantiki hasa pale ambapo vithibitisho vya kinachoongelewa huwa havileti mantiki ya moja kwa moja. Pengine watu wanatafuta pesa kwa bidii na kumuomba Mungu lakini kwa kuwa kwenye mstari wa juu wanajikuta wanahisiwa kuwa member wa secret society (Freemason). Oh..au labda ndo vile kwa upande mwingine lisemalo lipo na kama halipo laja !
Tunathubutu kuziita blaa blaa kwa upande mwingine, lakini tukiweka kwenye mabano kuwa inaweza kuwa na ukweli, who knows!
Mtandao wa malimwengu wa nchini Kenya huenda ukawa na mfano mzuri wa kile nilichokitaja hapo juu, mtandao huo kupitia mwandishi wake imetaja majina ya wasanii wa Tanzania na Kenya wanaosemekana kuwa ni wafuasi wa Freemason, lakini kizuri zaidi ni kwamba mtandao huo umejaribu kuonesha vithibitisho na kushindwa kupata jibu la moja kwa moja kwa nini wasanii hawa wamekumbwa na hili. Inabaki hivyo hivyo kuwa tetesi tu.
Hawa ni wasanii waliotajwa na maelezo yanayowahusu:
TANZANIA:
1.Naseeb Abdul Jumaa (Diamond Platinum)
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgGeqkjTssTPVEn-y8y0T9B9xxMaWSQ1GrqKKJUBNRefij-CUg4Tkfq9ZQRgeX5-G4EyJbSu3qdQ9Piwa54oeKp77YZ5PotfboxVflRImxBnIzfftBd4B0thxnHVV7x4FEHBQg-tIYxbW0/s1600/DiamondFreemason.jpg
Picha aliyopiga mwaka jana akiwa na mzungu anaeaminika kuwa ni moja kati ya viongozi wa Freemason wakiwa wameweka pozi na kuonesha ishara inayooaminika kuwa ni ya Freemason, na kwamba alipoulizwa yeye alisema hakufahamu kama alikuwa anaelekezwa kupiga picha kwa pozi la ki-freemason. Kwa mujibu wa mwandishi anaona inaweza kuwa kweli kwa sababu anaonekana kuenjoy!
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ