Wednesday, October 3, 2012

0

MECHI YA WATANI WA JADI YAMALIZIKA KWA SULUHU.

Posted in , , , ,
Simba Na Yanga
Ni magoli ya Bahanuzi na Kiemba yaliyofanya mechi hii ya watani hawa irembwe kwa sare ya bao moja kwa moja. Amri Kiemba aliipatia timu yake ya Simba bao la kwanza katika dakika ya 5, huku Kijana toka Sengerema Saidi Bahanuzi akisawazisha bao hilo katika kipindi cha pili mnamo dakika ya 65, kwa njia ya mkwaju wa penati baada ya mchezaji wa Simba kuunawa Mpira.
Katika mchezo huo mchezaji wa Yanga alizawadiwa Kadi nyekundu mnamo mwishoni mwa mechi, Huku Juma Kasseja akionesha umahiri wake kwa kuokoa Michomo mbalimbali.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ