Thursday, August 30, 2012

0

ANDRES INIESTA: Mchezaji Bora Wa Ulaya 2011/2012

Posted in , ,
Andres Iniesta(28) Ametangazwa Usiku huu Kuwa Mchezaji Bora wa UEFA mbele ya Lionel Messi na C.Ronaldo. Iniesta Alipata Kura 19, Huku Messi na Hasimu wake Ronaldo wakiwa wamefungana kwa pointi 17.#VIDEO CHINI
Wengi Walipenda CR7 achukue, Huku wengi vilevile walitaka Messi Achukue Tuzo hiyo, Ila Kura ndizo Ziliongea Zaidi, Na Kumfanya Mchezaji Bora wa EURO 2012 kupata Tuzo hiyo.




Iniesta Alichaguliwa kwenye Mkutano huo wa UEFA, kwa Kura zilizopigwa Live na Waandishi wa Habari 53, kutoka kwenye Nchi wanachama. Hongera Kwake Andres Iniesta(28)







0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ