Tuesday, August 6, 2013

0

TV SHOW YA IRENE UWOYA KUSHIRIKISHA NYOTA KADHAA (HAWA NDO WALIOSHIRIKISHWA KWA SASA)

Posted in , , , , ,


“Nafurahi kuona jinsi kioo cha jamii hivi sasa kimeigusa familia kabisa, ukizungumzia nyumba unagusa swala la familia ambalo ndiyo msingi wa Taifa lolote.” Haya yalikuwa ni baadhi ya maneno ya Mtitu, mmoja kati ya watu maarufu ambao walihusika kwenye show ya Irene Uwoya. Katika harakati za kutengeneza kipindi chake, Irene amekutana na mastaa tofauti na kuzungumza nao mambo mengi ambayo yatakuwa kwenye show yake. Chukua time yako ya kuona jinsi ilivyokuwa na upate sababu nyingine ya kuangalia hii show kupitia @CloudsTV na pia unaweza kucheki promo yake hapo pembeni.
Mtitu wa 5effects
Ambwene Yesaya na Irene
Jacob Steven “JB” kahusika kwenye show
Mrisho Ngassa yupo kwenye show
Steve Nyerere naye ndani

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ