Thursday, August 8, 2013

0

NEW TRACK: BOU NAKO & FIDO VATO (MAJEMBE) - MI NAJUA

Posted in , ,

Majembe ya Kaskazini Bounako & FidoVato wanarudi tena na Hardcore hiphop Joint kwa jina "Mi Najua" ikiwa ni mkono wa Defxtro toka Noizmekah studios, remix ya pini hili litakuja mwezi ujao wakiwemo Mcs wengine JCB na Moplus, kwa sasa Majembe wanajipanga na Video Kadhaa za ngoma zao hivyo mashabiki wakae mkao wa kuburudika na kuelimika,Pata kuusikiliza wimbo huu na kudownload HAPA na kwa mawasiliano na mahojiano zaidi check na Majembe Bounako & FidoVato kupitia +255 718  396 869 au +255 783 825 519

Najua najua... najua najua...

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ