Saturday, June 22, 2013

0

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MREMA JUU YA CHADEMA

Posted in , ,
Nassari akiwa Hospitali

Akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kupigwa na Wanachama wa CCM wakati wa uchaguzi mgodo wa Udiwani Kata ya Makuyuni Wilayani Monduli Mkoani Arusha Juni 16

“Dola haina huruma kupiga mabomu wananchi,kutesa viongozi na kuwafungulia kesi ili wawadhoofishe wasifanye kazi ya kuwatumikia wananchi, au kufanya shuguli za kisiasa”alisema Mrema. Mrema aliongeza kuwa ingawa Serikali inatumia nguvu kama walizotumia kumdhoofisha yeye, lakini ana imani kuwa mbinu hizo kwa CHADEMA hazitafua dafu, kwa chama hiki wamekutana na kisiki cha mpingo,huku akishauri pande zote mbili zitumie busara katika kufanya siasa ili wasije waka hatarisha amani ya nchi.


"Mbinu za Serikali hazifui dafu kwa CHADEMA"-Mrema

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ