Next
Previous
Showing posts with label Mr Nice. Show all posts

Sunday, July 22, 2012

0

Mr. Nice-Mzee wa TAKEU Style

Posted in
Alipoteaga sana, wengi wakisema amefiliska, na mengi yakinenwa na karudi na nyimbo zake mbili zinazogonga sana kwa sasa. NI ile NIONJE ft. Barnaba na Tabia Gani. Nyimbo hizo zikiwa zimetolewa na Producer Lamar Niekamp, na wengi kuamini kuwa producer huyo ndo kiini cha mafanikio ya msanii huyo kwa sasa.
                                
Leo tumeamua kuwa na Flashback ya msanii huyu ambaye ndo mwanzilishi wa style ya Takeu Style, ambayo ilichezwa sana miaka ya Nyuma zaidi ya KIDUKU. Msanii  huyo alitoa Album iliyoitwa RAFIKI ambayo ilijumuisha HitSongs Kibao ikiwamo FAGILIA, KIKULACHO, RAFIKI yenyewe na nyinginezo.


Friday, May 4, 2012

0

Mr Nice Kuzindua Album Bilicanas

Posted in , , , ,
Mwanamuziki aliyetamba kwa staili ya TAKEU, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ anatarajia kufanya Show ya kuzindua albamu yake ya Tabia Gani katika ukumbi wa Bilicanas.
Mr Nice alisema hii itakuwa mara yake ya kwanza kupanda jukwaani baada ya takribani miaka sita kupita.
Alisema anatarajia kufanya mambo makubwa katika uzinduzi huo, ambao anatarajia kusindikizwa na wasanii kama Aman Temba, Saidi Juma ‘Chege’, Robart Mangwer ‘Ngwea’ na wengine.
Alisema pia atakumbushia nyimbo zake ambazo zilivuma sana kama Fagilia, Kikulacho,Bwana Shamba na nyingine nyingi ambazo zilifanya vizuri.
“Mashabiki wangu natakakuwakumbusha kile ambacho zamani nilikuwa nafanya, narudi
tena kama zamani” alisema.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ