Next
Previous
Showing posts with label Brazil. Show all posts

Friday, June 14, 2013

0

KOMBE LA MABARA 2013 | CONFEDERATIONS CUP 2013 NCHINI BRAZILI KUANZA KESHO

Posted in , , , ,

WENYEJI Brazil Jumamosi Juni 15 wanafungua rasmi Mashindano ya FIFA ya kugombea Kombe la Mabara Mwaka 2013 kwa kucheza na Mabingwa wa Asia, Japan.
IFUATAYO NI TATHMINI YA MECHI HII YA UFUNGUZI!
Hali za Wachezaji
Brazil wanatarajiwa kutumia Mfumo wa 4-2-3-1 huku Staa wao Neymar akicheza nyuma ya Straika Fred na langoni kuwepo Kipa Julio Cesar ingawa Kocha Luiz Felipe Scolari atalazimika kuamua nani aanze Fulbeki ya kushoto kati ya Marcelo au Filipe Luis.
Japan wanaweza kumkosa Mchezeshaji wao mkubwa Keisuke Honda na hilo linaweza kumfanya Shinji Kagawa akacheza kama Kiungo wa kati badala ya Kiungo wa pembeni kama anavyochezeshwa akiwa na Japan.
Nahodha wa Japan Makoto Hasebe atarudi tena dimbani baada ya kutumikia Kifungo cha Mechi moja.
Tathmini ya Mechi
Hiki ndio ‘Kipima Joto’ rasmi kwa Brazil kuweza kuwa Mwenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia Mwakani na pia kama wataweza tena kurudia utawala wao wa Kombe la Dunia kwani wao ndio Nchi iliyotwaa Kombe hilo mara nyingi walipolichukua mara 5.
Brazil, kama Wenyeji wapo Fainali hizo za Kombe la Dunia, na Wiki iliyopita Japan ilikuwa Nchi ya kwanza Duniani kuungana nao kwenye Fainali hizo baada ya kufuzu kutoka Kanda ya Bara la Asia.
+++++++++++++++++++++++++++++++++++
GLT==TEKNOLOJIA YA MSTARINI GOLINI KUTUMIKA:

Wednesday, February 6, 2013

0

UINGEREZA WAIFUNGA BRAZILI, KATIKA MECHI YA KIRAFIKI

Posted in ,


Wakati chama cha soka FA kikiadhimisha miaka 150 ya FA, UINGEREZA WAMLABUA BRAZIL, ni kwa magoli ya Wayne Rooney na Frank Lampard.
#Ronaldinho akosa penati
#Neymar acheza chini ya kiwango
#Wilshere azidi kuonesha ubora
#Wayne Rooney afunga na Kusaidia goli Moja



Brazil Wakishangilia Goli la Fred



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ