May
2013
08
MSANII BARNABA ASAINI MKATABA MNONO NA BARCLAYS
Posted in Barclays, Barnaba, Kidum

Baadhi ya mizigo ya barnaba inayokaa kwenye mfuko wake

Huu hapa mkataba wa BARNABA a.k.a CLASIC Nikinukuu maneno ya RUGE mutahaba juzi wakati akizungumza swala la lady jaydee alitolea mfano akasema '' WASANII WA UGANDA WAMEKUWA NA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITA WASANII WA TANZANIA KWASABABU YA MIKATABA MINONO YA MAKAMPUNI WANAYOINGIA NA WASANII. mwisho wa kunukuu. hivyo mkata huu wa BARCLAYS NA BARNABA i hope utamsogeza sana mbele BARNABA.
0 Maoni/comments: