Apr
2013
24
BAADA YA MWANAFUNZI KUULIWA, CHUONI IAA WAJIANDAA KUANDAMANA HUKU MH. GODBLESS LEMA AKIWANUSURU
Posted in Chadema, IAA
Habari zilizo tufikia: Baada ya kuuwawa kwa mwanafunzi wa mwaka wa pili jana, wanafunzi wanajiandaa kuandamana. Mh. Godbless Lema amewasili kunusuru maandamano.
Hali bado ni tete Chuoni Njiro.
Stay tuned…
SOURCE: CHADEMA DIASPORA
0 Maoni/comments: