MASHABIKI MKOANI GEITA WASABABISHA HASARA HOTELI ALIYOFIKIA DIAMOND
Posted in Diamond Platnumz, Wasafi
|
| Ilinibidi kuwasalimu na kuwapa mkono mmoja mmoja ili kuwasihi kuachia mlango huo wa kuingilia hotelini hapo...... hekima na busara utumika sehemu hii....!!! |
| Waacheni watoto wadogo waje kwangu kwa maana Kipenzi chao Nimewasili....Amani na Upendo ndio Lugha ya WATANZANIA..!! |
| Nashukuru Mungu walitii tamko langu na kuachia uwazi wa geti ilo baada ya kuwasalim...Ukarimu na heshima ilitawala muda huu pia...!! |


0 Maoni/comments: