Jun
2013
20
WASANII AMBAO SIO MFANO WA KUIGWA NA JAMII ( WASOME HAPA)
Posted in Chris Brown, Justin Bieber, Lil Wayne
Hii ni kwa mujibu wa kura za wazazi kwa njia ya mtandao mmoja maarufu huko Marekani ambao pia ndani yake kuna wasanii kama Kanye West, Lil Wayne na Justin Bieber, ambao kura za wazazi wengi walioshiriki katika zoezi hili zinaonyesha tofauti ya asilimia chache kati yao.
Orodha hii pia imezingatia kuangalia sababu za wazazi hawa kuwaweka wasanii hawa katika kundi hili, ambapo matumizi ya mihadarati ama bangi, lugha chafu, matendo ya vurugu ni kati ya sababu kubwa ambazo zimewafanya wasiwe mfano mzuri wa kuigwa.
0 Maoni/comments: