Thursday, June 20, 2013

0
Jun 2013 20

HUYU NDIYE MREMBO WA KIKENYA ATAKAYEFANYA KAZI NA CHIDI BEENZ

Posted in ,
Msanii wa muziki wa nchini Tanzania, Chidi Beenz ama Chuma kama anavyotambulika na wengi sasa, yupo katika mchongo wa kufanyakazi ya pamoja na mwanadada Habida kutoka Kenya, ingawa kwa sasa bado ni mapema kusema ni kazi gani na itafanyika wapi?



Chidi Benz pamoja na Habida wamekuwa na mazungumzo kwa njia ya mtandao kuonyesha kuwa mambo kadhaa yakikaa sawa watakutana na kumaliza kile walichoadhimia kufanya, na hii ni kwa ajili ya wapenzi wa muziki ndani na nje ya Afrika Mashariki.

Kutokana na tip hii, mitaa yote ipo tayari inasubiria kuona kitakachofanyika wakati wakali hawa wawili watakapokutanisha ujuzi wao na kufanya kitu cha pamoja.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ