Jun
2013
24
BAADHI YA PICHA KWENYE MSIBA WA MAMA YAKE BARNABA(THT)
Posted in Barnaba, Joh Makini, THT
Msanii wa mziki wa kizazi kipya Barnaba Elias, siku ya Jumamosi alifiwa na Mama yake mzazi ambae alikuwa akijulikana kwa jina la Bi. Mariam Arubeth. Shughuli za mazishi zilifanyika siku ya Jumapili nyumbani kwa marehemu kigogo/mburahati ambapo msiba huo ulihudhuriwa na watu wengi wakiwemo wasanii mbalimbali .






0 Maoni/comments: