Monday, June 24, 2013

0
Jun 2013 24

BAADHI YA PICHA KWENYE MSIBA WA MAMA YAKE BARNABA(THT)

Posted in , ,



Msanii wa mziki wa kizazi kipya Barnaba Elias, siku ya Jumamosi alifiwa na Mama yake mzazi ambae alikuwa akijulikana kwa jina la Bi. Mariam Arubeth. Shughuli za mazishi zilifanyika siku ya Jumapili nyumbani kwa marehemu kigogo/mburahati ambapo msiba huo ulihudhuriwa na watu wengi wakiwemo wasanii mbalimbali .
IMG_0008
IMG_0015
IMG_0021

IMG_0063IMG_0033
IMG_0087

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ