Ifanye Biashara Yako Iwe Inajulikana, Na Upate Wateja Wengi.
Kwa Vifaa Vyote Vya Michezo, Jijini Arusha, Wako Opposite Msikiti Mkubwa, Karibu na CCM Mkoa Wapo Pia Moshi na Babati, Tembelea Sasa
Pata Products Za Forever Living Kwa Afya Yako, Bila Kusahau Vipodozi. Piga 0755-029901.
Kwa Huduma Za KIMAPISHI, Katika Events Mbalimbali, Harusi, MISIBA, Barikio, Send Off nk.
Photo Editing, Graffiti Editions, Pia Kufanya Retouching. Kutengeneza Posters(MABANGO)
Next
Previous
Showing posts with label Joh Makini. Show all posts
Friday, January 24, 2014
Thursday, June 27, 2013
NYIMBO MPYA: JOH MAKINI FT. FUNDI SAMWELI - NIKUMBATIE
Posted in Fundi Samweli, Joh Makini, WEUSI
Joe Makini ametambulisha wimbo wake mpya leo hii "Nikumbatie" akiwa amemshirikisha producer wa wimbo huo "Fundi Samweli."
"Huu wimbo ni wa mapenzi kwasababu wakati nau-record mwanzoni mwa mwaka jana kabla Fundi hajaondoka nilikuwa katika feelings hizo, na ilikuwa nitoe mda kidogo lakini wakati nataka kuuachia Nikki akawa anatoa wimbo wake, baada ya kutoa ikawa niachie lakini kutokana na msiba wa Ngwea na Langa ikabidi nitulie kwanza na sasa naona ni wakati muafaka wa kuachia"
Joe makini pia alizungumzia habari iliyopo sasa ya Mtayarishaji mkali wa Videos za kibongo "Adam Juma" kutangaza kuacha kutengeneza videos na kuangalia michongo mingine.
"Kweli hii habari sio nzuri kwasasbabu sidhani kama kuna atakae ziba pengo lake kwa sasa, ila najipanga kushoot video ya wimbo huu wiki ijayo, na bado sijajua nani atakae fanya video ya wimbo huu". amesema Joe.
Monday, June 24, 2013
BAADHI YA PICHA KWENYE MSIBA WA MAMA YAKE BARNABA(THT)
Posted in Barnaba, Joh Makini, THT
Msanii wa mziki wa kizazi kipya Barnaba Elias, siku ya Jumamosi alifiwa na Mama yake mzazi ambae alikuwa akijulikana kwa jina la Bi. Mariam Arubeth. Shughuli za mazishi zilifanyika siku ya Jumapili nyumbani kwa marehemu kigogo/mburahati ambapo msiba huo ulihudhuriwa na watu wengi wakiwemo wasanii mbalimbali .



Saturday, June 15, 2013
JOH MAKINI ANAENDELEA VIZURI
Posted in Joh Makini, Nisher
Ni baada ya director nisher kuwasiliana naye na kutuonyesha screenshot ya conversation yao.Friday, June 14, 2013
GET WELL SOON JOH MAKINI (TUMUOMBEE MWENZETU)
Posted in Joh Makini, WEUSI
Moja ya rapper memba wa kikundi cha hip hop TZ, Joh Makini, yuko hospitali huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya sana.
Baadhi ya Tweets alizoziweka
Monday, December 17, 2012
23/12/2012 FUNGA MWAKA LA WEUSI (SUPRIZE KIBAO, UZINDUZI WA BUM KUBAM DVD, NA NYIMBO MPYA YA LORD EYEZ)
Posted in G-Nako, Joh Makini, Lord Eyez, Nikki Wa Pili, WEUSIHii ni ile ya mwisho kabisa kwa mwaka huu, WEEEUUUSSIIII kutoka ARA-CHUGGA!!! G-Nako a.k.a G WaraWara, Nikki Wa II, Joh Makini a.k.a Mwamba Wa Kaskazini, Lord Eyes a.k.a King Easy na Bonta. Hii inafunga mwaka huu kwa sababu kuu Tatu, Yeah!! 3...
- Show Kali ya WEUSI, ambapo ni Top 20 za WEUSI.
- Uzinduzi wa Ngoma Jipya la Lord Eyes, yep ni ile ambayo inasuburiwa kwa hamu na fans.
- Uzinduzi wa DVD ya BUM KUBAM kutoka kwa Nikki Wa II ikiwa ni pamoja na aina ya uuzaji mpya utakaoonekana pale.
Sunday, October 14, 2012
VIDEO YA PEA BY WEUSI
Posted in G Nako, Joh Makini, Nikki Wa Pili, WEUSI
Kutoka A town city tunakutana na Weusi ni moja kati ya makundi ya Hip Hop yanayotikisa huu muziki wa hapa Bongo Land hata nje ya Bongo Land.Nafahamu kwamba kila mmoja alikuwa anajiuliza kuhusiana na video yao ya PEA sasa basi video imetoka na ni bonge la video kweli weusi wametisha mbayaaaa ebu fanya kama una click hapo chini halafu uone jinsi wakali hawa wana haki ya kupewa heshimu katika muziki huu wa Hip Hop.
Saturday, October 6, 2012
UKIPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA RICK ROSS HAPA TZ UTAMPA NANI???
Posted in Ally Kiba, Diamond Platnumz, Fid Q, JCB, Joh Makini, Nako 2 Nako, Stamina, WEUSI, Young D
Tumekua Tukizoea Kuona Ambwene Yesaya Akipiga Collabo na Wasanii wa Kimataifa, JE INAPOTOKEA UNAPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA ''THE BOSS'' UTAMCHAGUA NANI??? Pah One, MwanaFA, JohMakini Mwamba Wa Kaskazini Na Weusi, FID Q, Stamina SuperMario, Godzilla, Young Dee, Diamond Platnumz, Ally Kiba AU Msanii Gaani???
#WEKA WAZO LAO HAPA>>>
Thursday, September 13, 2012
Thursday, March 8, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)
Msimamo Ligi Kuu TZ
Popular Posts
-
DOWNLOAD AUDIO TRACK ''BONDI by Watoto wa Bibi JAMBO SQUAD ft JUMA NATURE''
-
Papaa Mafido - My Story (Official Video)
-
Download new Track '' AMEN '' By mWana FA ft. Dully and A.Y
-
VIDEO 18+ : SHOWER SCENES FROM THE BIG BROTHER AFRICA "THE CHASE"
-
Cassim Mganga Ft Akili The Brean - Majeraha ( Official Video )
-
'True Blood' Season 5: Tina Majorino's Cast as Another Vampire, Tara's Back
-
NEW TRACK: BOB JUNIOR-KICHUNA (FREE DOWNLOAD)
-
HILI NDO GARI JIPYA LA MSANII JAGUAR KUTOKA KENYA!
-
HII SI YA KUKOSA: MKALI WA TECHNO JanB KUZINDUA ALBUM YAKE MACHI 9
-
Justin Bieber Reveals North American Tour Dates to Promote 'Believe'
FOLLOW US
NEW BONGO MUSIC
A.B '93 MOBILE APP
Powered by Conduit Mobile
EXTRA BONGO MUSIC
My Top Blogs
LETS CHAT
HABARI ZA BURUDANI ULAYA
Soccer Latest Scores
FOLLOW US NB
KIBONGO ZAIDI
Blog Archive
Arnold Balati 2012. Powered by Blogger.











