Next
Previous
Showing posts with label Joh Makini. Show all posts

Friday, January 24, 2014

0

VIDEO MPYA: WEUSI - NJE YA BOX (DIR. NISHER)

Posted in , , ,

Thursday, June 27, 2013

0

NYIMBO MPYA: JOH MAKINI FT. FUNDI SAMWELI - NIKUMBATIE

Posted in , ,


Joe Makini ametambulisha wimbo wake mpya leo hii "Nikumbatie" akiwa amemshirikisha producer wa wimbo huo "Fundi Samweli."
"Huu wimbo ni wa mapenzi kwasababu wakati nau-record mwanzoni mwa mwaka jana kabla Fundi hajaondoka nilikuwa katika feelings hizo, na ilikuwa nitoe mda kidogo lakini wakati nataka kuuachia Nikki akawa anatoa wimbo wake, baada ya kutoa ikawa niachie lakini kutokana na msiba wa Ngwea na Langa ikabidi nitulie kwanza na sasa naona ni wakati muafaka wa kuachia"
Joe makini pia alizungumzia habari iliyopo sasa ya Mtayarishaji mkali wa Videos za kibongo "Adam Juma" kutangaza kuacha kutengeneza videos na kuangalia michongo mingine.
"Kweli hii habari sio nzuri kwasasbabu sidhani kama kuna atakae ziba pengo lake kwa sasa, ila najipanga kushoot video ya wimbo huu wiki ijayo, na bado sijajua nani atakae fanya video ya wimbo huu". amesema Joe.

Monday, June 24, 2013

0

BAADHI YA PICHA KWENYE MSIBA WA MAMA YAKE BARNABA(THT)

Posted in , ,



Msanii wa mziki wa kizazi kipya Barnaba Elias, siku ya Jumamosi alifiwa na Mama yake mzazi ambae alikuwa akijulikana kwa jina la Bi. Mariam Arubeth. Shughuli za mazishi zilifanyika siku ya Jumapili nyumbani kwa marehemu kigogo/mburahati ambapo msiba huo ulihudhuriwa na watu wengi wakiwemo wasanii mbalimbali .
IMG_0008
IMG_0015
IMG_0021

Saturday, June 15, 2013

0

JOH MAKINI ANAENDELEA VIZURI

Posted in ,
Ni baada ya director nisher kuwasiliana naye na kutuonyesha screenshot ya conversation yao.


Friday, June 14, 2013

0

GET WELL SOON JOH MAKINI (TUMUOMBEE MWENZETU)

Posted in ,

Moja ya rapper memba wa kikundi cha hip hop TZ, Joh Makini, yuko hospitali huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya sana.
Baadhi ya Tweets alizoziweka




Monday, December 17, 2012

0

23/12/2012 FUNGA MWAKA LA WEUSI (SUPRIZE KIBAO, UZINDUZI WA BUM KUBAM DVD, NA NYIMBO MPYA YA LORD EYEZ)

Posted in , , , ,
      

Hii ni ile ya mwisho kabisa kwa mwaka huu, WEEEUUUSSIIII kutoka ARA-CHUGGA!!! G-Nako a.k.a G WaraWara, Nikki Wa II, Joh Makini a.k.a Mwamba Wa Kaskazini, Lord Eyes a.k.a King Easy na Bonta. Hii inafunga mwaka huu kwa sababu kuu Tatu, Yeah!! 3...
  •  Show Kali ya WEUSI, ambapo ni Top 20 za WEUSI.
  •  Uzinduzi wa Ngoma Jipya la Lord Eyes, yep ni ile ambayo inasuburiwa kwa hamu na fans.
  •   Uzinduzi wa DVD ya BUM KUBAM kutoka kwa Nikki Wa II ikiwa ni pamoja na aina ya uuzaji mpya utakaoonekana pale.
  Yeeeeap yote hayo  ni jumapili ya tarehe 23 ndani ya New Maisha Club, Historia Nyingine hii hapa na Mwaka Unafungwa kinamna hii...

Sunday, October 14, 2012

0

VIDEO YA PEA BY WEUSI

Posted in , , ,


Kutoka A town city tunakutana na Weusi ni moja kati ya makundi ya Hip Hop yanayotikisa huu muziki wa hapa Bongo Land hata nje ya Bongo Land.Nafahamu kwamba kila mmoja alikuwa anajiuliza kuhusiana na video yao ya PEA sasa basi video imetoka na ni bonge la video kweli weusi wametisha mbayaaaa ebu fanya kama una click hapo chini halafu uone jinsi wakali hawa wana haki ya kupewa heshimu katika muziki huu wa Hip Hop.

Saturday, October 6, 2012

0

UKIPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA RICK ROSS HAPA TZ UTAMPA NANI???

Posted in , , , , , , , ,
Tumekua Tukizoea Kuona Ambwene Yesaya Akipiga Collabo na Wasanii wa Kimataifa, JE INAPOTOKEA UNAPEWA NAFASI YA KUCHAGUA MTU WA KUPIGA COLLABO NA ''THE BOSS'' UTAMCHAGUA NANI??? Pah One, MwanaFA, JohMakini Mwamba Wa Kaskazini Na Weusi, FID Q, Stamina SuperMario, Godzilla, Young Dee, Diamond Platnumz, Ally Kiba AU Msanii Gaani???
#WEKA WAZO LAO HAPA>>>

Thursday, September 13, 2012

0

*MUST WATCH* LORD-EYEZ feat. JOH-MAKINI

Posted in ,

Thursday, March 8, 2012

0

Latest Songz In BONGO, Free Downloads

Posted in , ,





Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ