S.U.A YAANDAA TAMASHA LA HIP HOP
Posted in JCB, S.U.A
S.U.A. wakishirikiana na Jambo Festival wanakuletea mashindano ya “freestyling” na “deejaying” yatakayokuwa yakifanyika kwenye uwanja wa wazi AICC club, Arusha. Tukio hili la siku tano litaanza tarehe 22 Oktoba na kumalizika tarehe 28 Oktoba, 2012. Kiingilio ni bure kama ilivyo desturi ya S.U.A.
0 Maoni/comments: