Thursday, October 18, 2012

0

S.U.A YAANDAA TAMASHA LA HIP HOP

Posted in ,

JCB FFJuhudi na harakati za mradi wa S.U.A. (Saving Underground Artists) unaoendelea Kijenge Juu Arusha zimeanza kuzaa matunda, hasa katika upande wa kuwafikia vijana wengi zaidi kulinganisha na hapo awali.
S.U.A. wakishirikiana na Jambo Festival wanakuletea mashindano ya “freestyling” na “deejaying” yatakayokuwa yakifanyika kwenye uwanja wa wazi AICC club, Arusha. Tukio hili la siku tano litaanza tarehe 22 Oktoba na kumalizika tarehe 28 Oktoba, 2012. Kiingilio ni bure kama ilivyo desturi ya S.U.A.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ