Next
Previous
Showing posts with label Tundu Lissu. Show all posts

Thursday, June 20, 2013

0

MTAMBUE ALIYERUSHA BOMU KWA KUSOMA HAPA (TAARIFA TOKA CHADEMA DIASPORA)

Posted in ,


Kati ya hawa waliotajwa, Nani karusha bomu?! Mtambue

Soma kwa makini na nanukuu (neno kwa neno) gazeti la Mwananchi toleo Na: 4741;
Jumanne, Juni 18 2013 ukurasa wa 4;

Majeruhi Mwengine Majeruhi mwingine, Abdallah Hilali (39) aliyelazwa katika Hospitali ya Arusha Lutheran Center amedai kuwa majeraha aliyopata miguuni yametokana na kupigwa risasi na Polisi na kudondekewa na vipande vya bomu.

Alisema alikuwa nyma ya jukwa kuu akimsikiliza Mbowe na alipomaliza kuhutubia alishuka jukwaani kukusanya sadaka, ndipo alipoona mfuko wa mweusi mdogo wa plasitiki ukipeperuka juu.“Nilidhani ni upepo unapeperusha kitu, lakini ghafla nilisikia kishindo na nikamsikia mama mmoja akipiga kelele kuwa aliyerusha mfuko anakimbia, nilipogeuka nikajikuta nipo chini,” alisema Hilali.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ