Next
Previous
Showing posts with label Dogo Janja. Show all posts

Tuesday, August 13, 2013

0

JANJARO (DOGO JANJA) KURUDI TIP TOP

Posted in
Kuna kila ishara kuwa meli ya Watanashati Entertainment iliyomchukua Dogo Janja kwa mbwembwe nyingi, inaelekea kuzama na abiria wawili waliosalia, Dogo Janjaro na PNC wameanza kutafuta maboya haraka kujihami.

Kwa mujibu wa meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale, Dogo Janja amekuwa akimpigia simu Madee ili wakae chini waongee kumaliza tofauti zao na ili arejee Tip Top.
“Unavyomwona Dogo Janja leo hii anampigia simu Madee kumwomba wakae chini,” alisema Tale kwenye kipindi cha Mkasi.
“Ni kwamba wale marafiki hawapo tena. Leo hii kwakuwa Dogo Janja anamhitaji Madee atausema ukweli. Dogo Janja hela yake alikuwa anampa mshkaji mmoja anaitwa Doka. Mimi niliyajua hayo baada ya matatizo.”
Dogo Janja alijiondoa Tip Top June mwaka jana kwa madai kibao ikiwa pamoja na kudai kwamba hakuwahi kusaidiwa chochote na Madee zaidi ya mambo ya muziki pekee huku kula, malazi na ada ya shule vikifanywa na rafiki yake Madee aitwaye Abdallah Doka ambaye (Dogo Janja) alikuwa akiishi kwake.
Alidai kutokana na ngoma zake kujipatia umaarufu alikuwa akipata show nyingi nchini na zote alikuwa halipwi chini ya milioni moja. Kilichokuwa kinamsikitisha anasema ni kulipwa hela kidogo isiyozidi laki mbili na hivyo kumfanya aishi kwa tabu licha ya kuingiza hela nyingi za show.
“Nilikuwa navumilia tu, kwasababu kila nilipolalamika kuhusu mambo ya hela Madee alikuwa mkali sana,” alikaririwa kwenye kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM.

Thursday, March 21, 2013

0

ALICHOKIANDIKA DOGO JANJA KUHUSU ELIMU YAKE

Posted in , ,

Mimi Abdul-Aziz Abubakari Chende ninae julikana kwasasa kama Janjaro ninaandika ujumbe huu uwaaendee waTanzania wote Mimi ni kijana Mwenye Umri Wa Zaidi ya Miaka 18 Ninasoma Shule Ya Makongo Kidato Cha tatu Baada ya Kuwa nimefaulu Kidato Cha pili Pia Vile Vile ninajihusisha na Kazi ya MZIKI" nikiwa katika Lebo ya MTANASHATI ENTERTIANMENT Chini ya OSTAZ JUMA NAMUSOMA....ninayatoa YA MOYONI Kazi yangu ya Mziki Ndio iliyofanya kila Mtanzania kunitambua kama mimi JANJARO nanikajizolea Mashabiki Wengi hivyo na kila Mtanzania kunitambua kama ABDUL-AZIZ au JANJARO nina Talent (KIPAJI) lakini sasa kipaji Icho kilitokea nikiwa na umri Mdogo ikiwa ninaSoma hivyo nlitokea kukipenda sana kipaji changu na kukithamini sana kwani ndicho kilichofanya kila mtanzania kunitambua na pia mziki huo huo uliweza kusababisha mimi kuonana na viongozi Wakubwa Wakubwa katika Serikali Mojawapo Akiwa MH RAIS WETU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA

Thursday, March 14, 2013

0

Janjaro(DOGO JANJA) in South Africa Cape Town-DOCUMENTARY

Posted in

The promo video of Janjaro's tour to Cape Town/South Africa was directed and edited by Seam Simbi Nkula

Saturday, December 15, 2012

0

HII NDO ILE TRACK: DOGO JANJA FT. DOGO ASLAY-NIMESHAMALIZA

Posted in ,
 
Joint ya Madogo TZ, Dogo Aslay ft  Dogo Janja.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ