Next
Previous
Showing posts with label Brooklyn Nets. Show all posts

Thursday, April 11, 2013

0

JAY-Z KUUZA HISA ZAKE KATIKA YA NETS, NA KUANZA KUA WAKALA WA WACHEZAJI

Posted in ,
Mwanamuziki nguli na tajiri yupo katika hatua za mwisho za kuuza hisa zake kwenye timu ya mpira wa kikapu ya Brooklyn Nets ili aweze kuwa wakala wa wachezaji wa NBA, ikiwezekana kabla ya mwisho wa msimu. Mpango huo kwa sasa upo katika kuufanikisha, mtu mmoja mwenye ukaribu wa kambi ya Jay Z alisema jana Jumatano.
Sheria za NBA zinakataza mtu yoyote mwenye miliki kwenye timu kufanya kazi ya uwakala kwa wachezaji.
Hivi karibuni Jay Z kupitia kampuni take ya Roc Nation aliingia mkataba wa ushirikiano na Creative Artists Agency (CAA) na matumaini yao ni kuanza kushindani dili za kuwakilisha wachezaji wa NBA kuanzia mwezi June mwaka huu.   
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ