JAY-Z KUUZA HISA ZAKE KATIKA YA NETS, NA KUANZA KUA WAKALA WA WACHEZAJI
Posted in Brooklyn Nets, Jay-Z
Mwanamuziki
nguli na tajiri yupo katika hatua za mwisho za kuuza hisa zake kwenye
timu ya mpira wa kikapu ya Brooklyn Nets ili aweze kuwa wakala wa
wachezaji wa NBA, ikiwezekana kabla ya mwisho wa msimu. Mpango huo kwa
sasa upo katika kuufanikisha, mtu mmoja mwenye ukaribu wa kambi ya Jay Z
alisema jana Jumatano.
Sheria za NBA zinakataza mtu yoyote mwenye miliki kwenye timu kufanya kazi ya uwakala kwa wachezaji.
Hivi
karibuni Jay Z kupitia kampuni take ya Roc Nation aliingia mkataba wa
ushirikiano na Creative Artists Agency (CAA) na matumaini yao ni kuanza
kushindani dili za kuwakilisha wachezaji wa NBA kuanzia mwezi June mwaka
huu.












