TAARIFA JUU YA RAISI WA BARCELONA KUJIUZULU
Posted in FC Barcelona, NeymarNa taarifa ikufikie kwamba Rais wa club ya Barcelona Sandro Rosell amejiuzulu Urais wa club hiyo Alhamisi usiku (January 23 2014) baada ya kikao kizito na bodi ya club hiyo ambapo uamuzi alikuja kuutangaza mbele ya waandishi wa habari muda mfupi baadae.
Akielezea kujiuzulu kwake Rosell amesema kwa kipindi kirefu yeye na familia yake wamekua na wakati mgumu kutokana na yaliyotokea ndio maana anataka kuwa huru huku akisisitiza kwamba kusainiwa kwa Neymar kuko sahihi.
0 Maoni/comments: