Saturday, July 20, 2013

0

JAY Z AOMBA JINA LAKE LIANDIKWE BILA KUTUMIA HYPHEN (-)

Posted in ,


Jay-Z anataka jina lake liandikwe ‘Jay Z’ bila ‘hyphen’ (-)

Jay-Z anataka hiyo hyphen itoke kwenye jina lake. Baada ya kutumia jina hilo kwa takriban miongo miwili, rapper huyo amesema kuwa Jay na Z zisimame zenyewe bila kutengenishwa.

Jay Z. Hivyo ndivyo jina lake Jay-Z limeandikwa kwenye albam Magna Carta Holy Grail.

Mhariri wa Billboard, Joe Levy, alitweet: “Breaking: Jay Z has dropped the hyphen from his name, according to his label,I am not kidding. (Wish I was.)”

Hata hivyo imekuja kubainika kuwa Jay-Z amekuwa akitumia Jay Z kwa muda sasa na hata kwenye maelezo ya albam zake zilizopita The Blueprint 3 na Watch The Throne 2011 akiwa na Kanye West.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ