Jun
2013
27
ONA JINSI WEMA SEPETU ALIVYOKUWA AKIMTUKANA MLINZI WAKE BAADA YA KUIBIWA
Posted in Wema SepetuMsanii nyota wa Bongo movie, Wema Sepetu, leo hii amejikuta akitoa matusi ya nguoni kwa mlinzi wake baada ya kukuta gari lake likiwa limeibiwa power window na betri la gari lake kuchomolewa.
hali hiyo imetokea nyumbani kwake Kijito nyama, pale alipokuwa akijaribu kuwasha gari lake na kuondoka.
video hii inaonyesha masjirani waliposkia kelele za matusi kutoka kwa mwanadadiva huyo waliamua kupanda sehem na kuchukua video ya kilichokuwa kikiendelea kwa kujificha.
0 Maoni/comments: