Wednesday, June 26, 2013

0

NYIMBO MPYA AMBAYO A.Y NA FA WAMEFANYA NA J.MARTINS HII HAPA

Posted in , ,


Ni ngoma mpya iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kutoka kwa MwanaFA pamoja na AY wakiwa wamemshirikisha msanii kutoka Nigeria maarufu kama J Martins, ngoma inaitwa “BILA KUKUNJA GOTI”.

Mdundo wa ngoma hii umetengenezwa na Producer Marco Chali kutoka MJ Records.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ