Nov
2012
05
P-FUNK NA FID Q, KUSUKA NGOMA NYINGINE KWA PAMOJA
Posted in Fid Q, P-Funk Majani
Pamoja na Huyu na Yule iliyofanywa na Master Jay kumtambulisha vema Fid, ni P-Funk Majani ndiye anapewa credits nyingi zaidi za kumweka kwenye chart rapper huyo kutoka Mwanza ambaye jina lake halisi ni Fareed Kubanda. Majani kupitia Bongo Records, ameshafanya hits kadhaa za Fid zikiwemo Mwanza Mwanza, August 13 na Chagua Moja.
>>>>>>>Ngoma hiyo itakuwa ya tatu kutoka kwenye albam yake Kitaalojia baada ya Fid kutweet, “KitaaOLOJIA ‘ The completion of the trilogy ‘
1-#ieLeweMitaa
2- #SihitajiMarafiki *next release lini? P_Majani anajua #Tuombeane Dua na Majani kujibu, “it’s my first song to mix this week, Video ASAP!!!! I can’t stop replaying that trak.”
Tunaisuburi kwa hamu.
0 Maoni/comments: