Thursday, August 15, 2013

1

HUYU NDO MSANII WA MUZIKI ALIYEANIKA PICHA ZAIDI YA 100 ZA UCHI AKIWA NA MADEMU TOFAUTI | WABONGO BANA

Posted in

xdjay  imefanikiwa kunasa picha mbalimbali za aibu za msanii chipukizi na mwanamuziki Manaiki Sanga akifanya ufuska wa kutisha na wanawake tofauti tofauti hali inayoonesha ameazimia kujitoa muhanga juu ya gonjwa hatari la ukimwi linalotishia dunia nzima.


Habari za uhakika toka kwa chanzo chetu kilichotushushia shehena za  picha hizo kilisema msanii huyo ambae pia ni anaigiza pamoja na kundi  la Ze Komedi la East Afrika Tv tangu apate jina amekuwa akijihusisha  na vitendo viovu vya unyanyasaji wa kijinsia kwa kuwarubuni mabinti  kupiga nao picha za aibu kwa lengo la kutafuta jina na amekuwa 
akitumia kiasi kikubwa cha pesa kufanikisha suala hilo. 


Aidha katika hali nyingine msanii huyo aliyetamba sana kwenye filamu  ya Love Position, Tikisa na nyinginezo amekuwa akitumia gari yake  kufanyia ufusika  hadharani....



































































1 comment:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ