Wednesday, July 3, 2013

0
Jul 2013 03

MZIGO MPYA TOKA KWA GELLY WA RHYMES (LOVELY) - COMING SOON

Posted in
Ni video ya ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la “LOVELY” ambayo msanii Gelly Wa Rhymes anatarajia kuiachia hivi karibuni …

Utayarishaji wa video hiyo ni umefanywa na kampuni ya E Media chini ya Director Nick Dizzo. Pia kipindi cha nyuma, Gelly  alishatamba na baadhi ya ngoma zake kama Kikuku, Mwizi, Binti Yenu, I Love You na nyinginezo …

Stay Tuned !!

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ