Tuesday, May 14, 2013

0

WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI MANZESE WARIPOTIWA KUANGUKA OVYO


HABARI ZILIZOTUFIKIA PUNDE

Wanafunzi zaidi ya 30 wa shule ya Sekondari manzese muda huu wanaanguka hovyo huku wakijibamiza katika miti na kusema maneno yasiyoeleweka kutokana na kinachohisiwa kuna ni nguvu za giza zimetanda shuleni hapo.

Hadi sasa chanzo cha tatizo hilo hakijajulikana kuwa nini.

SOURCE: ITV

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ