Next
Previous
Showing posts with label Malaya. Show all posts

Sunday, August 4, 2013

0

CHUO KIKUU CHALEA MAKAHABA: NI CHUO KIKUU DODOMA AMBACHO KIMEENDELEA TAWALIWA NA HAWA MADADA POA

Posted in ,


Ongezeko  la  makahaba  mjini  Dodoma  limeendelea  kuwa  kero  kwa  chuo  kikuu  cha Dodoma  na  wanafunzi  wake  kwa  ujumla....

Kero  hiyo  imekuwa  ikisababishwa  na  baadhi  ya  makahaba  hao  kujifanya  wanafunzi  wa  chuo  hicho  kwa  lengo la kujiimarisha  kibiashara...

 Takribani miezi mitatu  iliyopita, kahaba mmoja alinasawa  na polisi   mjini Dodoma akijiuza kwa  kujinadi  kuwa  yeye  ni  mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kikuu cha Dodoma ..

 Baada  ya  mahojiano  ya  kina  na Polisi Central,  ilibainika  kuwa  kahaba  huyo  hakuwa  Mtanzania  na  hakuwa  mwanafunzi  wa  chuo  chochote  hapa  nchini  na  badala  yake  alikuwa  ni  raia  wa  Malawi.

Upekuzi wa polisi  ulifanikiwa  kunasa  ARVs  za  kupunguza  makali  ya  virusi  vya  UKIMWI  toka  kwa  mwanamke  huyo  aliyekuwa  akiendesha  maisha  yake  kwa  kuuza  mwili  wake  maeneo  ya  Uhindini  mkoani  humo.

 Mbali  na  ushahidi  huo, mtandao huu  umefanikiwa  kumnasa  binti  mwingine  anayejiita  SECHE  MAUTAMU...

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ