Next
Previous
Showing posts with label Love Tips. Show all posts

Thursday, July 4, 2013

0

NAMNA YA KUMNASA MPENZI ANAYEKUFICHA TABIA ZAKE

Posted in


Tatizo ambalo limekuwa likiwakuta wapenzi wengi wanaoanzisha uhusiano wa kimapenzi wenye mwelekeo wa maisha ya ndoa ni kuingizwa ‘mkenge’ kwa kufichwa baadhi ya tabia mbaya na wapenzi wao.
Wapenzi wanaoficha tabia wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuteka mapezni ya watu, lakini baadaye wakishafanisha azma yao hujiachia na kuanza kuwatesa wenzao.
“Sikujua kabisa kama ana tabia hizi, ningetambua mapema kama ni mhuni nisingekubali kuoana naye.”
Uchunguzi unaonyesha kuwa wanandoa wengi mpaka sasa wanajuta kufunga ndoa na wapenzi wao na kwamba kama wangetambua tabia za wenza wao mapema wasingekubali kufunga ndoa.
Inawezekana hata wewe unayesoma makala haya unajuta kiasi cha kulalamikia mwenzako alivyobadilika tabia tofauti na mwanzo ulivyoanza kupendana naye. Hebu fuatilia dondoo hizi ili ujue namna ya kumtabua mpenzi anayekufichia makucha, ili usijiingize kwenye uhusiano usiokuwa sahihi.

MPE UHURU WA KUTOSHA
Watu wengi wanapoanzisha uhusiano huwabana sana wapenzi wao kwa kuwapekulia simu, kuwachunga watokapo na waingiapo, jambo ambalo huwafanya wahusika kujilinda sana wakiamini wanafuatiliwa.

Monday, May 6, 2013

0

VITU KUMI AMBAVYO KINA DADA HAWAJUI KUHUSU MWANAUME

Posted in ,

10 Things Ladies Don't Know About A Guy

1. Guys Emotional Than You Think As Time Proceed His Emotional Will Be Displayed For All To See. Take The Case of Heart-Break For an Example; Men Get hurt later on than ladies who get hurt right away.

2. Guys May Flirt Around All Day But Before They Goes To Sleep, They Always Think About The Girl They Truly Care About.

3. Guys Go Crazy Over A Girl's Smile Over Him.

4. A Guy Who Likes You, Wants To Be The Only Guy You Talk To.

5. Guys Are More Emotional Than They'd Like People To Think.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ