Next
Previous
Showing posts with label Forbes. Show all posts

Friday, August 2, 2013

0

FLAVIANA MATATA NAYE AWEKWA KATIKA ORODHA ZA JARIDA LA FORBES

Posted in , , ,


Ikiwa imetangazwa siku chache zilizopita, Forbes Africa imetoa list ya ma-model wakali na wanaofanya vizuri, na model matata kutoka Tanzania "Flaviana Matata" ndani.

Ikiongozwa list na model mdogo mwenye miaka 21 kutoka Angola "Maria Borges" 2013 imemfanya kuwa hot model na mkali kwenye catwalk.
Forbes Africa Magazine ambalo limetoka August 1lina list ya ma-model wengine ambao wako karibu kukamata nafasi ya kwanza ya hotest model ambao ni Ajak Deng (Sudan), Grce Bol (Sudan), Candice Swanepoel (South Africa), Liya Kebede (Ethiopia), Katryn Kruger (South Africa) na mshiriki wa Miss Universe kutoka Tanzania (Flaviana Matata)

Saturday, July 20, 2013

0

HIZI NDO TIMU TAJIRI ZAIDI DUNIANI

Posted in , , ,

1 Real Madrid
Value: $3.3 billion
Owner: Club members

2 Manchester United
Value: $3.165 billion
Owner: Glazer family

#3 Barcelona
Value: $2.6 billion
Owner: Club members

#4 New York Yankees
Value: $2.3 billion
Owner: Steinbrenner Family

#5 Dallas Cowboys
Value: $2.1 billion
Owner: Jerry Jones
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ