Tuesday, June 25, 2013

0

NYIMBO MPYA: AT - KITUMBUA

Posted in


Ni ngoma mpya kutoka kwa msanii A.T ambae anafanya muziki wenye miondoko ya Mduara ambapo sfari hii amekuja na kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la “KITUMBUA”….

A.T pia hapo nyuma alitamba na baadhi ya ngoma zake kama Vifuu Utundu, Bao La Kete na nyinginezo.


0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ