Tuesday, April 9, 2013

0

WOLPER APANGA KUWACHANGANYA WASANII WENZAKE, HIKI NDICHO ALICHOPANGA KUFANYA

Posted in , ,

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiP8MvIZ1dOJrSoQ9DU-ifLW2FMD_BzViBZA7TGKyC1wz3Wr6Kx8HGP4J4eAgP9OOuT1Wz4Vgzxq4F6tsRQeCEPKhaX3dO-er2EecZh1CUATpKiq8RgFibQxokE_3poOCLLBFGQ_fjqYCuU/s1600/1.jpg JACK Wolper, msanii nyota katika tasnia ya filamu Bongo, ameibukia katika filamu ya 'Mahaba Niue' na kusema kuwa amedhamiria kuwachanganya wasanii wenzake yaani Mboto na Rado, kwa lengo la kuendelea kushika namba moja katika waigizaji bora wa kike.

Nimejipanga kufanya kazi ya kuandika historia na bado wapenzi wa filamu waamini kuwa kweli mimi ni bora nisiyebahatisha katika sanaa," alisema.

"Hilo unaweza kuliona katika filamu ya Mahaba Niue ya Rado nilivyofanya kweli mwanzo mwisho, ninaigiza na kutayarisha filamu zangu pia."

Filamu ya Mahaba Niue imeandaliwa na mwigizaji wa filamu Rado na kuwashirikisha wasanii kama Mboto, Wolper, Rado pamoja na mwanamuziki na mwigizaji wa filamu kwa sasa H BABA.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ