TUMUOMBEE HUYU MWANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE ANAYEFANYIA MTIHANI WODINI
Posted in NECTA
Hatua hiyo ilifikiwa baada ya mwanafunzi huyo, kuomba aruhusiwe kufanya mtihani huo licha ya kuwa wodini akiugulia maumivu ya upasuaji aliofanyiwa na madaktari wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa zaidi ya saa mbili na kulazwa katika wodi ya wazazi namba 7B.
0 Maoni/comments: