Tuesday, August 14, 2012

0

Tickets Za MAMBO JAMBO RADIO SUMMER-JAM

Posted in

Tickets za Mambo Jambo Summer jam Concert itayofanyika siku ya Iddi mosi (Eid el Fitr) Pande za Sheikh Amri Abeid Stadium sasa zinapatikana kote Arusha katika vituo vifuatavyo; Sakina shopping supermarket,Panone petrol station supermarket ngarenaro,Bugaloo pub Njiro complex,Zamzam Bakery sakina kwaiddi,2i pub kijenge banana,JJ Black fashion house mjini kati pamoja na Mpesa shop iliyopo Perferct Choice supermarket mkabala na chuo cha tropical centre.wahi sasa ticket ni buku mbili tu (2000/=),na kila ticket ina coupon ya bahati nasibu hiyo waweza kujishindia Blackberry,Flatscreen tv,Tshirts na hata Pesa Taslim pale uwanjani !!Mbali na draw hiyo utapata kuwashuhudia live on stage,WEUSI,FidoVato,JCB,
StopaRhymes,Bounako,TaigaRaiz,

Gentriez,Meccacheka,J4C,Yung Omega,EffectZero,May C,BadTaito,MirryCandle,Veejay na Gfaya,Mambojambo summer jam,muziki kazi!!!!

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ