Tickets Za MAMBO JAMBO RADIO SUMMER-JAM
Posted in Mambo Jambo Summer Jam
Tickets za Mambo Jambo
Summer jam Concert itayofanyika siku ya Iddi mosi (Eid el Fitr) Pande
za Sheikh Amri Abeid Stadium sasa zinapatikana kote Arusha katika vituo
vifuatavyo; Sakina shopping supermarket,Panone petrol station
supermarket ngarenaro,Bugaloo pub Njiro complex,Zamzam Bakery sakina
kwaiddi,2i pub kijenge banana,JJ Black fashion house mjini kati pamoja
na Mpesa shop iliyopo Perferct Choice supermarket mkabala na chuo cha
tropical centre.wahi sasa ticket ni buku mbili tu (2000/=),na kila
ticket ina coupon ya bahati nasibu hiyo waweza kujishindia
Blackberry,Flatscreen tv,Tshirts na hata Pesa Taslim pale uwanjani
!!Mbali na draw hiyo utapata kuwashuhudia live on
stage,WEUSI,FidoVato,JCB,
Gentriez,Meccacheka,J4C,Yung Omega,EffectZero,May C,BadTaito,MirryCandle,Veejay na Gfaya,Mambojambo summer jam,muziki kazi!!!!
0 Maoni/comments: