Friday, May 31, 2013

0

''M2THEP'' AONGEA, KIFUA NDIO KINAMSUMBUA NA KICHWA AOMBA WATANZANIA WAMUOMBEE..!!!

Posted in ,

LEO hii, Millard ameingia wodi aliyolazwa M2thep na kuongea nae, ambapo amesema anajiskia vizuri lakini kifua ndio kinamu

uma na kichwa ila anadhani akiendelea kunywa dawa siku mbili tatu atakuwa katika hali nzuri.

kati mazungumzo hayo, ''M2theP'' pia alimuulizia Ngwea, ambapo walimjibu ameshatangulia Tanzania.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ