Tuesday, May 14, 2013

0

DIAMOND APIGA SHOW KONGO AKIWA KAVALIA VAZI LA JESHI LA KONGO

Posted in
ad5853eabc2511e28f4222000a1fb75e_7


Diamond anafahamika kwa kujaribu idea tofauti za kukonga nyoyo za mashabiki wake kwenye stage.
Akiwa kwenye ziara yake ya Burundi na Congo, Diamond alijaribu kufanya kitu tofauti zaidi kwa kutinga nguo za military polisi (MP) za jeshi la Congo. “Chef de l’armée… #CoNgo ,” ameandika Diamond kwenye picha hiyo aliyoweka Instagram.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ