Tuesday, April 30, 2013

0

ALICHOKIANDIKA ROMA KUHUSU KUTOKUSHIRIKISHWA KATIKA TUZO ZA KILI 2013

Posted in ,

.
.
. 
Rapper Roma Mkatoliki ni mshindi wa tuzo za KTMA 2012 lakini mwaka huu 2013 hajapata nafasi yoyote ya kuwa nominated kwenye list, ni miongoni mwa mastaa wa hiphop ambao hawako kwenye list kabisa mwaka huu ambapo moja ya vigezo vya msanii kushiriki kwenye tuzo za ni lazima wimbo wake uwe umefanya vizuri kwa mwaka uliopita.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ