Saturday, December 22, 2012

0

TUSIWALAUMU SAMATTA NA ULIMWENGU

Posted in , , ,
Samatta


Hii Post Niliitoa katika group moja maarufu la kisoka (SPORTS EXTRA CLOUDS FM), Iliandikwa na Mdau Mmoja huku akitoa somo:
Ulimwengu
Nasikitishwa na wadau wachache wanao walaumu Mbwana Ally Sammata na Thomas Ulimwengu tena na kwenda zaidi kuwatusi na kuwalaani.
Ningependa mtambue kwamba hawa vijana ni proffesional and not Amatuers kama Kaseja na Tegete [nami ni mdau wa simba lakini], walikuja kucheza Match na Kenya tena wakaonyesha kiwango cha juu sana, hio match na Kenya ilikua ni International Friendly na inatambulika na FIFA. Sasa jamani tujiulize kwanza hio Friendly Match na CHIPOLOPOLO inatambulika na FIFA???? au inahadhi kama ya CECAFA Challenge ambayo haitambulika atakama ukishinda goli mia kiwango hakipandishi na ndio maana unaona hata kwenye Challenge hawavijana hawajacheza kabisa coz hazitambuliki FIFA..
Vilevile kumbukeni hawamadogo wamerudi huku na Majeruhi ambayo hata TFF imeshindwa kuwalipia Medical Bills pale Muhimbili alafu unategemea watacheza, na sio hawa tu ambao wanafanywa waonekane vibaya kunawachezaji wengi mmoja wapo ni Nditi ambae anachezea Chelsea TFF ilishindwa kumleta kwa mashariti machache tu kama kumlipia hotel na madaktari.
sasa mfikrie hizo blames apewe nani either the Coach Kim au TFF.
MAWAZO YAKO MDAU??????

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ