Thursday, October 25, 2012

0

THE RETURN OF THE KING>> AFANDE SELE KUACHIA SONGI JIPYA PAMOJA NA VIDEO MBILI

Posted in
MSANII wa muziki wa Hip Hop kutoka mjini Morogoro Afande Sele, ameuambia mtandao wa DarTalk, kuwa anatarajia kutoa ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ‘Soma Ule’, ngoma ambayo itakuwa ya tatu kuachia kwa mwaka huu ambayo itakuwa inazungumzia sana juu yaelimu.

Afande alisema kuwa kabla ya ngoma hiyo haijaenda sokoni ataachia kwanza video za ngoma zake mbili ambazo ni ‘Mr President’ na ‘Mashokoro Mangeni’, ambazo hazikufanya vizuri kwenye radio stations, anaamini kwenye upande wa televisheni zinaweza kufanya vizuri.

“Kwa sasa kuna goma yangu mpya ambayo natarajia kuachia lakini sina mpango wa kupeleka kazi yangu radioni, na ndiyo maana nataka kutoa video za ngoma zangu mbili,” alisema.

0 Maoni/comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Msimamo Ligi Kuu TZ